Mnijuze kwa hili tafadhari""$!$

mwelulila

Senior Member
Joined
Jul 30, 2013
Posts
109
Reaction score
4
jaman eti hela ya field pract and trainings huwa inatofautiana coz kuna watu wana 620000 na mimi nina 130000 yani sielewi wanaangalia kigezo gan kukupa hii hela!!!??
 
jaman eti hela ya field pract and trainings huwa inatofautiana coz kuna watu wana 620000 na mimi nina 130000 yani sielewi wanaangalia kigezo gan kukupa hii hela!!!??

yeah inatofautiana,mtu mwenye mkopo wa 100% pesa yake ya field ni kubwa kuliko mwenye mkopo wa 50%
🙂

kigezo ni tofauti za madaraja ya mikopo,
 
Nijuavyo mm meals & accomodation ndo huwa tofauti lakin field ni jipya kidogo ila kwa kigezo cha mkopo sidhani...!!!
 
yeah inatofautiana,mtu mwenye mkopo wa 100% pesa yake ya field ni kubwa kuliko mwenye mkopo wa 50%
🙂

kigezo ni tofauti za madaraja ya mikopo,

hata mimi nina asilimia mia lakn cjui imekuwaje
 
kaka kila mtu ana haki ukitaka uchukue wewe tu! wengne ambao hawajapata itakuwaje??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…