Mnikaribisheni

Calvinali

New Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
2
Reaction score
0
Yeah,
Calvin yupo hewani sasa iliku share ujuzi wake kwenu lakini mbona amumkaribishi? Ama sababu he is a kenyan?

Good night guys...
 
Karibu Calvinali , hebu tupe mtazamo wako juu ya mpambano wa kisiasa kuhusu uchaguzi mkuu nchini kwako Kenya..!
 
Last edited by a moderator:
Yeah,
Calvin yupo hewani sasa iliku share ujuzi wake kwenu lakini mbona amumkaribishi? Ama sababu he is a kenyan?

Good night guys...

Ndio iweje? You are a Kenyan, au ndio tukujue kwamba wewe ni Kenyata!!!
 
Karibu sana Calvinali, jisikie nyumbani (black, Indian, white, coloured, .......) we all the same, karibu.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…