Mniombee kuna gari inanifuata.

According to Bishop Dr. Gwajjizo (2017) Shuka kwenye gari lako, Wafuate ukapige nao Selfie kwanza kisha tuma kwenye magroup ya whatsapp
 
Ongeza mwendo kimbilia eneo salama mkuu, hawa watu wasiojulikana hawajawahi muacha mtu salama
 
Ongeza mwendo kimbilia eneo salama mkuu, hawa watu wasiojulikana hawajawahi muacha mtu salama

Nashukuru mkuu muda huu ndo natulia sasa
 
According to Bishop Dr. Gwajjizo (2017) Shuka kwenye gari lako, Wafuate ukapige nao Selfie kwanza kisha tuma kwenye magroup ya whatsapp

Wasije wakanilissu mkuu
 
Eti jana DAB alikuwa wapi? Kuna mtu anaitwa Quinine ameanzisha uzi sijui umefutwa maana ile nataka kukoment nikawa sina access.
 
Wakuu dua zenu zinahitajika kuna gari inanifuata kimya kimya.

Nikisimama nao wanasimama narudia tena dua zenu leo kuna kazi kubwa sana.
Kwani hiyo barabara ni yako pekee! Wanasimama kwa kuwa hawakuamini.
 
Kati ya wote naona hakuna hata aliyekuombea, inaonekana Tanzania tuna upungufu wa maombi. Haya mimi nakuombea: Mungu mtangulie radika popote aendako, malaika wako walinde gari lake nyuma na mbele, na upaga uliowatangulia waisirael baada ya kutoka utumwani uongozane nae, maana wewe ni Mungu Ibrahim, isaka na yakobo (Israel), basi ndiwe Mungu wa radika pia. Nimeomba kwa jina la Yesu kristo masiha, Amina.
 
Jamani ! ! Ubinadam, na utu, viko wapi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…