mnipe ushauri ktk swala hili

mnipe ushauri ktk swala hili

Kujisaidia sana kutumia mkono au vibrators una madhara yapi? Na mtu atajitoa aje katika tabia hii? Mnisaidie madaktari wa J.F
sidhani kama kuna madhara, labda ni nzuri zaidi kwani unakwepa ukimwi. kata kucha katika vidole usije jichubua mara kwa mara. weka gel katika vibrator na chukua size yako.
 
hawa wanawake tunaowaona wanatembea barabarani wazuriii, kumba ndo mambo yao? siri ya mtungu aijuaye kata jamani. vyumbani kwa watu kuna mengi. hadi tz imefika hii? dah..pole sana, ushauri wangu nenda kaombewe, unahitaji kufanyiwa maombi. seriously.
 
Back
Top Bottom