mnipokeeni mwenzenu nimetia mguu

mnipokeeni mwenzenu nimetia mguu

desmond dekker

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2017
Posts
201
Reaction score
245
wana jf hamjamboni?ni member mpya nimetokea kijiji cha vibamba Tanga. kwa sasa niko Arusha kikazi.tena nawaombeni mnisaidie kupata mke mzuri mwenye maadili.umri wangu 27 yrs.nimeajiriwa kwenye mojawapo ya taasisi za serikali na tayari nimeshajenga nyumba ya kuishi.natafuta mke ili tufurahie mafanikio yetu pamoja maana Mungu mkubwa.any interested lady,22 yrs to 26yrs naomba unifahamishe.moyo mweupe ndio kigezo kikubwa
 
Yaani mgeni unafika unaanza kuomba mke ? Loh !
Kweli vi wonder!!
 
kifupi,nimejiunga humu nikiwa na lengo la kupata mchumba maana kuna mshikaji wangu ameopoa chombo cha haja humu.na mimi naamini nitafanikiwa.hivyo msinione vibaya.
 
Utampata mkuu,endelea kumtafuta humu
 
Back
Top Bottom