Toa mfano wa hio love sms unakuja bila kisa mafunzo unamaanisha nini jNaitwa martin michael muhumba a.k.a mmmuhumba. Ni mwandishi mjasiriamali wa tawasifu, makala za mahusiano, mtunzi wa ujumbe kwa mpenzi (love sms), mshauri wa mahusiano na mtoa elimu ya mahusiano.
Pia ni mwandishi wa simulizi na mtunzi wa nyimbo.
Media yangu kufanya kazi ni gazeti la Mwangaza, Heshima kwa watu wote na wapenzi wa love sms (yale maneno matamu ya mahaba).
Karibu
Kuwasiliana nami na kuona kazi zangu ni wewe tu popote mtandaoni andika " mmmuhumba".
#imarika
Sawa Ndugu Wadiz, nimekuwekea kwenye hiyo picha , hayo maneno ni love sms, ila mtu anapohitaji ananitext au kupiga simu nitampa orodha atachagua kama[emoji117]Toa mfano wa hio love sms unakuja bila kisa mafunzo unamaanisha nini j
Poa....Sawa Ndugu Wadiz, nimekuwekea kwenye hiyo picha , hayo maneno ni love sms, ila mtu anapohitaji ananitext au kupiga simu nitampa orodha atachagua kama[emoji117]
love sms za lengo gan
1. Kusifia
2. Kuaminisha
3. Kubembeleza
4. Kutongoza
5. Kufungua hisia
6. Msamaha
7. Nk?
Utachagua, nitakupa gharama, utalipia na nitakuhudumia kwa sms za kawaida, kazi yako inakuwa ni kufoward.
Soma hizo picha vizuri View attachment 2519749View attachment 2519754View attachment 2519756View attachment 2519757View attachment 2519758
ninyi ndiyo mkioa, kidogo tu mnajiua au kuua wake zenu kwa sababu mnaishi kwenye ndoto za kufikirika kuhusu wanawake.Sawa Ndugu Wadiz, nimekuwekea kwenye hiyo picha , hayo maneno ni love sms, ila mtu anapohitaji ananitext au kupiga simu nitampa orodha atachagua kama[emoji117]
love sms za lengo gan
1. Kusifia
2. Kuaminisha
3. Kubembeleza
4. Kutongoza
5. Kufungua hisia
6. Msamaha
7. Nk?
Utachagua, nitakupa gharama, utalipia na nitakuhudumia kwa sms za kawaida, kazi yako inakuwa ni kufoward.
Soma hizo picha vizuri View attachment 2519749View attachment 2519754View attachment 2519756View attachment 2519757View attachment 2519758
Usingezaliwa Utingo, wanawake na wanaume ni viumbe wanaotegemeana . Changamoto za mahusiano ni kama changamoto zako za utafutaji wa riziki, kukomazwa ni utayari wako.ninyi ndiyo mkioa, kidogo tu mnajiua au kuua wake zenu kwa sababu mnaishi kwenye ndoto za kufikirika kuhusu wanawake.
Keep dreaming!Usingezaliwa Utingo, wanawake na wanaume ni viumbe wanaotegemeana . Changamoto za mahusiano ni kama changamoto zako za utafutaji wa riziki, kukomazwa ni utayari wako.
Ogopa kuwa na mawazo finyu juu ya watu.
Umezaliwa kwenye mapenzi na utakufa kwenye mapenzi ya dunia na utazikwa na wenye mapenzi nawe.
Tujifunze kuwafunza watu kuwa na ustawi bora wa mahusiano na siyo kuwashutumu haisaidii.
[emoji120]
View attachment 2523884
Sawa mkuu. Ila sipo katika hilo rika unalolifikiria nipo Utingo. Ninao udhoefu wa chungu na tamu za mapenzi. Kwahiyo, unapomshauri mtu usiwe negativity, hakuna anayetafuta mapenzi kuteseka. Mfundishe kuyajua ya msingi kuyatenda km wajibu, hayo ya kutendwa ni matokeo Mkuu, mzee hakuna mwenye hadubini mwachoni kuwa huyu atonitenda au huyu ni sahihi.Keep dreaming!
Ni wazi huwajui wanawake wewe, inawezekana utoto bado unakusumbua au unaishi kwenye ndoto za kufikirika, au unadhani story za mapenzi (fictions) unazosoma kwenye vitabu ni halisia au ndiyo umebalehe umeanza mapenzi.
Nimekupa angalizo, siku ukitendwa uwe makini usije ukatenda jinai
Asante ndugu yangu Smart911, japo nimekaribisha vibaya na ndugu utingo, anataka niyaogope mapenzi jamaani.Ahsante kwa taarifa...