YoungIsrael
Member
- Jun 3, 2021
- 7
- 2
Awali ya yote npende ktanguliza salamu, kwa yeyote mwenye connection za biashara za nafaka hasa mahindi, yaani nahitaji kuwa mnunuzi wa jumla kwa sehemu kama Geita, Rukwa na Shinyanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka naomba kupata mawasiliano ykoMkuu nimetoka kuvuna mahindi yako vzr ila nayapukuchua Mwezi wa nane au wa Tisa gunia zipo Zaidi ya 50..singida View attachment 1825353
Mkuu nimetoka kuvuna mahindi yako vzr ila nayapukuchua Mwezi wa nane au wa Tisa gunia zipo Zaidi ya 50..singida View attachment 1825353
Singida mwaka huu mambo yako njema ee?Ya kutosha na mwaka huu tumepiga bao yamekubaliView attachment 1825355
Nimeitumia ujumbe PMKaka naomba kupata mawasiliano yko
Awali ya yote npende ktanguliza salamu, kwa yeyote mwenye connection za biashara za nafaka hasa mahindi, yaani nahitaji kuwa mnunuzi wa jumla kwa sehemu kama Geita, Rukwa na Shinyanga