MNYAMA MPYA AGUNDULlKA SERENGETI.

QUOTE=Mwalimu;Hii ni mix ya swala na nyumbu, mwili ni wa swala & bichwa kubwa ni la nyumbu!

R u serious mkuu? Kwani hao ni species 2 tofauti. Na biologically and genetically hawawezi kupandana na kuzaa!
 
Mbona kama vile kichwa cha mbuzi beberu na mwili wa swala paa??? au ndo mambo ya "myutesheni"
 
Hii picha siyo ya kutengeneza kwa Computer? mimi bado siamini kama kweli huyu mnyama anaishi Serengeti kwanini muda wote huo pamoja na tafiti nyingi kufanyika kuhusu aina na jamii ya swala hawa hakuonekana.
 
hakuna kipya hapo huyo mnyama ni jamii ya swala ametokea tu kuwa na manyoya mengi mpaka shingoni si kitu kigeni mbona hata binadamu wapo wenye manyoya mpaka hushangaza watu wengine??
 
Mungu wangu! Is this the effects of genetically modified organism? Simba-Swala
 
hili si duka la picha kweli........which part of serengeti yupo huyu kimwana tommy
 
Nchi yetu masikini jamani!tunaomba nchi za jangwani au milimani kama swiss zitusaidie!
 
hicho ki mutant tu kama yule manywele wa east asia

ila kana bahati kweli yani predators wote wale wamekaachia... dah

aitwe masharubu
 
mchanganyiko wa swala na mbuzi huo,utakuta kuna mbuzi wa mtu alipotea akaenda kujichanganya na swala lol.
 
Inaonekana mama yake alitoka na ku-cheat na simba baada ya UKAME.
 
Wanyama kama huyu huwa wanazaliwa lakini wanamalizwa na predators kwa sababu ya utofauti wao...
 
This is not new species but a product of genetic + environmental changes- it is normal to occur
 
QUOTE=Newvision;This is not new species but a product of genetic + environmental changes- it is normal to occur

Validate your statement with scientific evidences.
 

Huyu hatakuwa mpya ila labda ndio ameonekana lazina ni Thompson Gazelle ila amekuwa na features kama beberu, kitu ambacho kinatokea kwenye jamii yeyote ile. Itakuwa kama Simba dume kuwa hana manyoya kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…