Babu Ubwete
Senior Member
- Jan 26, 2008
- 169
- 31
Namkumbuka huyu miss aliwahi kuwa pale IFM alikuwa benett na jamaa mmoja pale IFM aliyekuwa akionekana dhahiri kwamba ni shoga....ingawa kijana yule kwa taarifa nilizonazo ni kwamba alishatangulia mbele za haki...
πππππhilo jina la mnyange linaniboa mpaka basi..
sijui limetoka wapi?
mrembo au mlimbwende ndo inafaa
mnyange utesema mke wa mganga hivi.....
Fegi labda aache dakika hii anavuta moshi vibaya mno...kuna kipindi cha nyuma alichizika flani hivi.Huyu Binti alikuwa hajatulia mpaka kwa yule tapeli wa Ki angola alikuwa hakosekani, naye kijana Kizogunz kaubeba sana msalaba wa chuma huu. ameacha kuvuta fegi huyu mnyange
πππππ
Mkuu kwani unateseka?Yaani umefukua kaburi la 2010 kwa kujichekesha tu? Duh.