Mnyijka watangazieni watu hali ya kada wenu mzee Kibao

Mnyijka watangazieni watu hali ya kada wenu mzee Kibao

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Ndugu Mnyika.
Nakusalimu
Juzi uliitisha press conference na kuwatangazia wananchi juu ya kutekwa kwa msaidizi wako mzee Kibao.
Sasa kwa kuwa binadamu huwa haishi peke yake bali ana majirani zake taarifa zinazotoka nyumbani kwa mzee Kibao siyo nzuri.

Hebu sasa njoo hadharani uwatangazie wana Chadema na Watanzania kilichomkuta mzee Kibao maana pale nyumbani kwake kuna msiba inatuogopesha sisi wanachadema kuwa huo msiba ni wa nani!

Mnyika kama usipoutangazia umma kuhusu hilo basi nina wasiwasi ukimya wako ukawasaidia watekaji zaidi.

Tunataka press conference nyingine ASAP juu ya hali ya mzee Kibao.
 
Ndugu Mnyika.
Nakusalimu
Juzi uliitisha press conference na kuwatangazia wananchi juu ya kutekwa kwa msaidizi wako mzee Kibao.
Sasa kwa kuwa binadamu huwa haishi peke yake bali ana majirani zake taarifa zinazotoka nyumbani kwa mzee Kibao siyo nzuri.

Hebu sasa njoo hadharani uwatangazie wana Chadema na Watanzania kilichomkuta mzee Kibao maana pale nyumbani kwake kuna msiba inatuogopesha sisi wanachadema kuwa huo msiba ni wa nani!

Mnyika kama usipoutangazia umma kuhusu hilo basi nina wasiwasi ukimya wako ukawasaidia watekaji zaidi.

Tunataka press conference nyingine ASAP juu ya hali ya mzee Kibao.
Mmmhh!
Msiba nyumbani kwa mtu aliyetekwa???
 
Tangu Msigwa kuhamia CCM kasi ya viongozi na wanachama wa Chadema kutekwa na kuuwawa imeongezeka huyu ndiye anawapa watekaji password.
 
Ccm wameanzisha kikundi cha watekaji lakini kwakua mbowe yuko salama na familia yake hutaskia akiitisha maandamano ya amani, na hata akiitisha vijana waoga waoga majasiri nyuma ya keyboard hutamuona hata mmoja akijitokeza, maana wote wamejaa unafki kwanzia uongozi wa juu hadi wanachama
 
Back
Top Bottom