The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Kiukweli sijafirahishwa na kitendo cha katibu mkuu wa CHADEMA cha kushindwa kujibu maswali ya watangazaji na kujibu kwa jazba kila swali alilouluzwa na kwa maoni yangu maswali aliyouluzwa yalikuwa rahisi sana.
Kwa mtu kama katibu mkuu wa chama sikutarajia azingue kizembe kama vile!
Kwa mtu kama katibu mkuu wa chama sikutarajia azingue kizembe kama vile!