Mnyika akiisimamia vizuri ruzuku ya chama na michango ya wabunge CHADEMA wanaweza kuimarika tena

Mnyika akiisimamia vizuri ruzuku ya chama na michango ya wabunge CHADEMA wanaweza kuimarika tena

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kama tujuavyo Chadema iliweza kuimarika sana baada ya ujio wa mzee Lowassa na rafiki zake katika chama hicho.

Lakini mara baada ya mzee Lowassa kuamua kurejea CCM na kundi lake Chadema wameanza kudhoofu na amkani hali si shwari.

Ujio wa kiongozi kijana J J Mnyika kama katibu mkuu mpya inaweza kuwa neema kwa wanaufipa hasa ukitilia maanani Mnyika anavyoielewa Chadema.

Wito wangu ni kuwa Mnyika apewe zana zote zitakazomfanya aongoze kwa ufanisi uliotukuka, ikiwemo Usimamizi wa fedha za ruzuku na michango ya wabunge ya kila mwezi ya kukiwezesha chama. Mwenyekiti abakie kuwa msimamizi mkuu wa sera na muongoza vikao.

Nimtakie wajina JJ Mnyika uongozi wenye mafanikio.

Maendeleo hayana vyama!
 
Wanaweza kuimalika tena,kwani uliambiwa wameteteleka?au wewe ndiyo unaweweseka?watakuoa hao chadema.
 
Nafikiri ingekuwa bora aimarike yeye kwanza kabla ya kufikiria kuimarisha wengine.
 
Kila siku unaweka taarifa za CDM Na ccm ivi unawashwa bwashee?Halafu huwa hata huna hoja ukipata tu kawazo kadogo unaandika hata mistari 3 uzi tayari.Kwa nini usiangalie mambo ya msingi ya kuipeleka nchi mbele?
NB:Mchungaji Erasto anasemaje kuhusu CDM kila siku ilikuwa ni mchungaji Erasto saiz amepatwa na nini Erasto?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila siku unaweka taarifa za CDM Na ccm ivi unawashwa bwashee?Halafu huwa hata huna hoja ukipata tu kawazo kadogo unaandika hata mistari 3 uzi tayari.Kwa nini usiangalie mambo ya msingi ya kuipeleka nchi mbele?
NB:Mchungaji Erasto anasemaje kuhusu CDM kila siku ilikuwa ni mchungaji Erasto saiz amepatwa na nini Erasto?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mchungaji Erasto yuko wilayani Hai anawatangazia wananchi ukombozi.

Una lingine bwashee?
 
Kwenye Mnyika kupewa zana zote na kudhibiti fedha ili Mbowe abakie kusimamia sera na kuongoza vikao ni pagumu sana ,hapo ndipo ataelekezwa mlango wa kutokea na kisha kuitwa msaliti
Kama tujuavyo Chadema iliweza kuimarika sana baada ya ujio wa mzee Lowassa na rafiki zake katika chama hicho.

Lakini mara baada ya mzee Lowassa kuamua kurejea CCM na kundi lake Chadema wameanza kudhoofu na amkani hali si shwari.

Ujio wa kiongozi kijana J J Mnyika kama katibu mkuu mpya inaweza kuwa neema kwa wanaufipa hasa ukitilia maanani Mnyika anavyoielewa Chadema.

Wito wangu ni kuwa Mnyika apewe zana zote zitakazomfanya aongoze kwa ufanisi uliotukuka, ikiwemo Usimamizi wa fedha za ruzuku na michango ya wabunge ya kila mwezi ya kukiwezesha chama. Mwenyekiti abakie kuwa msimamizi mkuu wa sera na muongoza vikao.

Nimtakie wajina JJ Mnyika uongozi wenye mafanikio

Maendeleo hayana vyama!
 
Kwenye Mnyika kupewa zana zote na kudhibiti fedha ili Mbowe abakie kusimamia sera na kuongoza vikao ni pagumu sana ,hapo ndipo ataelekezwa mlango wa kutokea na kisha kuitwa msaliti
Hahahaaa......umenikumbusha ile hadithi ya Mangi na pesa!
 
CDM ipo imara siku zote na ndiyo maana mzee baba hataki kabisa kusikia kitu kinaitwa mikutano ya hadhara.
 
Kama tujuavyo Chadema iliweza kuimarika sana baada ya ujio wa mzee Lowassa na rafiki zake katika chama hicho.

Lakini mara baada ya mzee Lowassa kuamua kurejea CCM na kundi lake Chadema wameanza kudhoofu na amkani hali si shwari.

Ujio wa kiongozi kijana J J Mnyika kama katibu mkuu mpya inaweza kuwa neema kwa wanaufipa hasa ukitilia maanani Mnyika anavyoielewa Chadema.

Wito wangu ni kuwa Mnyika apewe zana zote zitakazomfanya aongoze kwa ufanisi uliotukuka, ikiwemo Usimamizi wa fedha za ruzuku na michango ya wabunge ya kila mwezi ya kukiwezesha chama. Mwenyekiti abakie kuwa msimamizi mkuu wa sera na muongoza vikao.

Nimtakie wajina JJ Mnyika uongozi wenye mafanikio

Maendeleo hayana vyama!
Ulichoandika hata Wewe mwenyewe unajua kinapingana kabisa na dhamiri yako,ila sasa utafanyaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom