mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,126
- 5,068
Narudia kwa mkazo wakati natoa wito kwa wagombea, wanachama na mawakala wa wagombea kuzingatia katiba kanuni maadili na itifaki ya chama katika mchakato mzima wa uchaguzi.”
“Hata hivyo katika kipindi hiki cha uchukuaji na urudishaji fomu kumejitokeza vitendo ambavyo vinaashiria kuvunjwa kwa miongozo na baadhi ya wanachama mbalimbali kuna tuhuma za namna hiyo.”
“Iwapo kuna kiongozi au mwanachama au mgombea atakayeona yeyote anayekiuka miongozo hii aweze kuwasilisha malalamiko rasmi kwa Katibu Mkuu wa Chama au mamlaka za ngazi zinazohusika na anayetuhumiwa ili hatua ziweze kuchukuliwa kwa haraka ili kudhibiti hii hali ya kuwepo kwa ukiukwaji wa miongozo na taratibu za kampeni na uchaguzi.” - Mnyika.
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) @ChademaTz, John Mnyika akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari, Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni jijini Dar es Salaam, tarehe 7 Januari, 2025.
“Hata hivyo katika kipindi hiki cha uchukuaji na urudishaji fomu kumejitokeza vitendo ambavyo vinaashiria kuvunjwa kwa miongozo na baadhi ya wanachama mbalimbali kuna tuhuma za namna hiyo.”
“Iwapo kuna kiongozi au mwanachama au mgombea atakayeona yeyote anayekiuka miongozo hii aweze kuwasilisha malalamiko rasmi kwa Katibu Mkuu wa Chama au mamlaka za ngazi zinazohusika na anayetuhumiwa ili hatua ziweze kuchukuliwa kwa haraka ili kudhibiti hii hali ya kuwepo kwa ukiukwaji wa miongozo na taratibu za kampeni na uchaguzi.” - Mnyika.
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) @ChademaTz, John Mnyika akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari, Makao Makuu ya Chama hicho Mikocheni jijini Dar es Salaam, tarehe 7 Januari, 2025.