Elections 2010 Mnyika mbunge wa ubungo.

We need figures . Pleaseeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wapo radio inakoromaa..ila hata hivyo nimesikia figures:
Mnyika 66,000(give or take)...Hawa nani sjui wa ccm 55,000
 
itv wamelala tu hawana jipyaaaa john mnyika ametangazw rasmi
 
wera weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa lete kipepsi cha gongo nisheherekeee ushindi wa mwanaharakati wa kweli.Hongera Mnyikaaaaaaaaaaaaaaa. Hatimae ndani ya mjengo.
 
Wajameni sisi wengine tupo huku Shy Vijijini,tupeni figure---Uchu wa mabadiliko!!
 
wera weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Ni elfu tisini na sita (96,000) walikuwa hawasikiki vizuri jamani, ila mgombea wetu amepeta sana tuu
 
wambieeni t bc wayaweke 'hazarani' haraka, mbona wana sua sua!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?
 
Pipozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz.......... CHADEMA JUU.
 
gooooooooood neeeeeeewzzzz, yaaaaaani we acha tuuuuuuuuuuu!
 
Mnyika hongera sana kamanda, Kura za mwaka huu zimetimia, Tunajipongeza pamoja wote tuliokupigia kura. Hongera CHADEMA!!!
 
Yaaaaaaani kwisha habari yaaaaaaoooo, wanadhani tupo kwenye vijiwe vya majungu, mipasho na propaganda kama walivyozoea wao, not at all, tuko kikazi zaidi.
 
"We must struggle every day so that this love for humanity becomes a reality"-Che

Jamani wenye video clips watuwekee basi.
 
watu tunaimba , Wamebana Wameachia!!! :yield::yield::yield::yield::yield::yield:
 
:israel:KWA MATOKEO NILIYOYAPATA SASA JOHN MNYIKA AMETANGAZWA NA TUME KUWA MBUNGE WA UBUNGO. HONGERA MNYIKA,HONGERA CHADEMA. PIPOOZZZZZZZ.....!!!:israel:

Mkuu kweli kijana kajinyakulia shamba,sasa lazima kulilima haswaa!!
 
Heri kwa Watanzania wote. Mnyika si mbunge tu wa Ubungo bali wa Tanzania nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…