Acha kwanza watu wenye akili.timamu wajadili hoja iliyoletwa. Mambo kama haya hayaletwi JF kwaajili ya watu kama ninyi. Ni kwaajili ya watu wenye akili timamu tu.Acheni kenge nyie hamna impact yoyote hata ofisi ya chama chenu imewashinda
Mutungi ana mandate gani kwenye suala la katiba ya nchi? Ni sawa na Mkurugenzi wa ATCL aitishe kikao cha wamiliki wote wa vyombo vya usafiri.Hayo maridhiano wanayochekelea Chadema kila siku kuwa mazuri ni matunda ya maxumguzo ya vyama vya siasa kwenye kamati ambamo wako akina Zitto Kabwe
Wanamgomea mwenyekiti wa kikao badala ya hoja
Hoja katiba mpya wao wanaongelea Mutungi.wasivyokuwa na akili kichwani
Kwani mnataka nini? Mbona hamueleweki? Au wamelogwa? Ney wa mitego aliimbaKatibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika anesema amepokea Barua Kutoka kwa Msajili wa vyama vya Siasa Jaji Mutungi ikiwaalika kushiriki Mkutano wa kuratibu Katiba Mpya
Mnyika amesema Serikali imeamua Mutungi ndio ayaunganishe makundi yote nchini yaani Wafanyabiashara, Wasanii, Wakulima, Wafugaji, Wanasiasa nk katika maandalizi ya kuandaa Katiba Mpya
Mnyika amesema CHADEMA hawamwamini Jaji Mutungi kwa sababu ndiye Kiini cha Kupandikiza Migogoro hivyo hawatahudhuria Mkutano huo
Source: Mwanahalisi Digital
Mutungi ni mtungi hasa. Na alijidhihirisha kuwa ni mtungi kwelikweli kwenye mgogoro wa Lipumba na CUF...Jaji Mutungi ajiuzulu nafasi hiyo kupisha wengine wanaoaminika na wadau wa siasa.
duuu. mwanaume umazira , ni tabia za kike kike hizi. mwanaume unaenda na hoja yenye nguvu humo ndani na unajiamini, huo ndo ukakamavu .
Baada hiyo kazi ya kishetani aliyoifanyia CUF na hivi karibuni NCCR-Mageuzi sasa anapewa jukwaa la kutumia matunda ya kazi yake kuua vuguvugu la katiba mpya. Na wanasiasa wetu wasivyokuwa na maadili wala dhamira ya kujenga taifa la kidemokrasia, tusishangae mtaji wa hii kazi yake mpya aliyopewa muuaji wa vyama vya siasa ni pamoja na ACT ya Hayati Maalim Seif, mhanga mkuu wa ushetani wa hicho kinachoitwa ofisi ya msajili wa vyama vya siasa! Raia yeyote mwenye mapenzi mema na nchi hii hawezi kushiriki mchakato ambao tungu mwanzo ni dhahiri utashi wa kisiasa haupo. Utashi wa kisiasa ungekuwepo mashauriano na wadau yangefanyika kupata utaratibu mwafaka.Mutungi ni mtungi hasa. Na alijidhihirisha kuwa ni mtungi kwelikweli kwenye mgogoro wa Lipumba na CUF.
Hili jukumu wangeachiwa watanzania mashuhuri, wasomi na wanaokubalika k.m. Mzee Warioba; Paul Kimiti; Jenerali Ulimwengu Jaji Samata n.k.Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika anesema amepokea Barua Kutoka kwa Msajili wa vyama vya Siasa Jaji Mutungi ikiwaalika kushiriki Mkutano wa kuratibu Katiba Mpya
Mnyika amesema Serikali imeamua Mutungi ndio ayaunganishe makundi yote nchini yaani Wafanyabiashara, Wasanii, Wakulima, Wafugaji, Wanasiasa nk katika maandalizi ya kuandaa Katiba Mpya
Mnyika amesema CHADEMA hawamwamini Jaji Mutungi kwa sababu ndiye Kiini cha Kupandikiza Migogoro hivyo hawatahudhuria Mkutano huo
Source: Mwanahalisi Digital
Hivi vikao wanatumia hela za nani? Kama havina nia ya kuleta matokeo? nani anawajibika kwa matumizi yasiyo ya lazima?..Huenda hicho kikao ni mbinu nyingine ya kuchelewesha mchakato wa Katiba Mpya.
..Ngoja tuone kama Jaji Mutungi na wenzake kama wataleta matokeo mazuri.
Hivi vikao wanatumia hela za nani? Kama havina nia ya kuleta matokeo? nani anawajibika kwa matumizi yasiyo ya lazima?
I think by now, wanajua namna nzuri ya kuendesha hili zoezi. Mwanzoni, ilileta shida, sababu ya baadhi ya watu walitaka kuifanya hii ni personal project yao. Wakasahau ni Tanzania na project ni ya watanzania. Ndio maana ikafa kifo cha mende...
Mfano, kuna haja gani ya kuwa na serikali tatu? Bora ijulikane moja tu kuliko kuanza kudanganyana mchana kweupe mambo ya serikali tatu
Safi, Mutungi aachie ngazi akasuke ukili na kupigia stori wajukuu zakeKatibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika anesema amepokea Barua Kutoka kwa Msajili wa vyama vya Siasa Jaji Mutungi ikiwaalika kushiriki Mkutano wa kuratibu Katiba Mpya
Mnyika amesema Serikali imeamua Mutungi ndio ayaunganishe makundi yote nchini yaani Wafanyabiashara, Wasanii, Wakulima, Wafugaji, Wanasiasa nk katika maandalizi ya kuandaa Katiba Mpya
Mnyika amesema CHADEMA hawamwamini Jaji Mutungi kwa sababu ndiye Kiini cha Kupandikiza Migogoro hivyo hawatahudhuria Mkutano huo
Source: Mwanahalisi Digital
Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika anesema amepokea Barua Kutoka kwa Msajili wa vyama vya Siasa Jaji Mutungi ikiwaalika kushiriki Mkutano wa kuratibu Katiba Mpya
Mnyika amesema Serikali imeamua Mutungi ndio ayaunganishe makundi yote nchini yaani Wafanyabiashara, Wasanii, Wakulima, Wafugaji, Wanasiasa nk katika maandalizi ya kuandaa Katiba Mpya
Mnyika amesema CHADEMA hawamwamini Jaji Mutungi kwa sababu ndiye Kiini cha Kupandikiza Migogoro hivyo hawatahudhuria Mkutano huo
Source: Mwanahalisi Digital
Ccm hawaitakii kabisa Katiba Mpya! Hii ni mbinu mbadala kutoka kumfivia mtu ugaidi ili kutisha watu kudai katiba mpya hadi kutangulia kuandaa ya kwao feki!Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika anesema amepokea Barua Kutoka kwa Msajili wa vyama vya Siasa Jaji Mutungi ikiwaalika kushiriki Mkutano wa kuratibu Katiba Mpya
Mnyika amesema Serikali imeamua Mutungi ndio ayaunganishe makundi yote nchini yaani Wafanyabiashara, Wasanii, Wakulima, Wafugaji, Wanasiasa nk katika maandalizi ya kuandaa Katiba Mpya
Mnyika amesema CHADEMA hawamwamini Jaji Mutungi kwa sababu ndiye Kiini cha Kupandikiza Migogoro hivyo hawatahudhuria Mkutano huo
Source: Mwanahalisi Digital
Na hiyo ndio obstacle kubwa ya katiba pendekezi ya awamu ya nne. Kwa sasa tuweke mambo mengine sawa. Labda watoto na wajukuu zetu watapindua meza. Ila lazima tuwe na pakuanzia..Znz wanataka mamlaka kamili.
..hivyo serikali 3 ni njia ya kuwapoza wasitoke kwenye muungano.