Mnyika: Ninajitahidi katika Udhambi wangu kuyaishi Maneno ya Mtakatifu Thomas More " Man Can not be Separated from God nor Politics from Morality "

Mnyika: Ninajitahidi katika Udhambi wangu kuyaishi Maneno ya Mtakatifu Thomas More " Man Can not be Separated from God nor Politics from Morality "

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Akijibu maswali ya Wakatoliki wenzake waliohoji kwanini alimlaumu sana Mchengerwa alipokata majina ya wagombea wa Chadema Kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa ilhali yeye mwenyewe anaitenda dhambi ile ile Kwa kuwakata akina Rose Mayemba, Twaha Mwaipaya, askofu Mwanamapinduzi nk Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika amesema

"Najitahidi katika Udhambi na Ubinadamu wangu kuyaishi maneno ya mtakatifu Thomas More "Man Can not be Separated from God nor Politics from Morality"

Mnyika amejibu Ukurasani kwake X ila anashambuliwa Mno

Nitampiga Mchungaji na Kondoo wa Kundi lake watatawanyika 🐼

Ahsanteni sana
 
Akijibu maswali ya Wakatoliki wenzake waliohoji kwanini alimlaumu sana Mchengerwa alipokata majina ya wagombea wa Chadema Kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa ilhali yeye mwenyewe anaitenda dhambi ile ile Kwa kuwakata akina Rose Mayemba, Twaha Mwaipaya, askofu Mwanamapinduzi nk Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika amesema

"Najitahidi katika Udhambi na Ubinadamu wangu kuyaishi maneno ya mtakatifu Thomas More "Man Can not be Separated from God nor Politics from Morality"

Mnyika amejibu Ukurasani kwake X ila anashambuliwa Mno

Nitampiga Mchungaji na Kondoo wa Kundi lake watatawanyika 🐼

Ahsanteni sana
Mnyika wa zamani sio huyu wa sasa kibaraka wa mbowe.
Kwa sasa kawa mchumia tumbo tu
 
chadema ni genge la wahun tupu hapo wanafanya kazi yao ya kihuni
 
Back
Top Bottom