Mnyika: Tumenunua jengo lingine mtaa wa Ufipa ambapo zitakuwepo ofisi za Mabaraza yote

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika amesema jengo la makao makuu lenye ofisi za Mwenyekiti, Katibu mkuu na watendaji wengine ni mali ya chama.

Kadhalika Mnyika ametanabaisha kuwa Chadema imenunua jengo lingine kubwa mtaa huo huo wa Ufipa ambamo kuna ofisi za mabaraza yote.

Nachukulia huo kama mrejesho wa uzi wangu baada ya kutembelea Ufipa na kujionea maendeleo yao japo amejibia twitani.

Hongereni sana mjenge na ukumbi wa mikutano sasa.

Maendeleo hayana vyama
 
Reply zako kwenye mjadala zitaonesha rangi zako halisi Jo
 
Bila kuweka mbwembwe unatuonyesha siyo Chadema.
 
Umeumia
 
Jengo lingine kubwa kwani hili la sasa la vyumba vinne ni kubwa?
 
Hongereni Chadema kwa kujiongeza kununua hilo jengo kwa ajili ya ofisi zenu. Wale wenzenu wengine wamejengewa jengo kule Dodoma na rafiki zao Wachina kwa kubadilisha na meno ya tembo yetu, na pia raslimali zetu zingine.
 
baada ya miaka 24 ya uenyekiti wa mwamba hatimae, kama kweli lakini hongera zenu.
 
Tangu lini muuza vitumbua aisumbue cdm yenye lundo la viongozi na wanachama wenye weledi wa kutosha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…