Mkwaju Wa dawa Member Joined Oct 12, 2016 Posts 20 Reaction score 21 Nov 25, 2016 #21 Daudi Mchambuzi shikamoo
D don xxx JF-Expert Member Joined Aug 14, 2013 Posts 1,111 Reaction score 1,018 Nov 26, 2016 #22 Hivi mziki mzuri ni lazima uwe unamiliki studio,vyombo vya music na ofisi ?!!! Kweli akili ni nywele
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,197 Reaction score 128,160 Nov 27, 2016 #23 muhuwesichimalamyasi said: kwenye dunia hii hakuna jipya chini ya jua.au ww masanja haukumckia?mbona km hivyo diamond kila ktu amepest au dangote haujajua kuwa amekopi? Click to expand... mbona kwa lil Wayne ni mpya yeye hajacopy popote, tabia ya kudandia-dandia vya watu kuna siku watajikuta wamedandia bamia.
muhuwesichimalamyasi said: kwenye dunia hii hakuna jipya chini ya jua.au ww masanja haukumckia?mbona km hivyo diamond kila ktu amepest au dangote haujajua kuwa amekopi? Click to expand... mbona kwa lil Wayne ni mpya yeye hajacopy popote, tabia ya kudandia-dandia vya watu kuna siku watajikuta wamedandia bamia.