DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
[emoji95]π’π₯π¨π π: π£π₯ππ©πππππ‘ππ’ π‘π π¦ππ ππ
"...Abiudi Shayo aka @privaldinho Jana (juzi) umenipiga Sanaaaa.
Nimepata simu nyingi sana watu wakaniuliza huyu si ndo wewe ulibaki nae peke yako kumtetea wakati Mashabiki wa Yanga wakimkataa wakisema ni SIMBA SPORTS?
Nikawaambia nikweli na hivyo Mimi ndo nilivyo kwa watu Wangu.Kwa yyte ambaye ni Mwanangu anaweza kushuhudia Hilo.
So nikawaambia hivyo ndo nilivyo kwa Wanangu wote.Kama wewe ni Mwanangu will defend you always
Yani naweza kufahamu Kila kitu kuhusu wewe.Kama ambavyo nilikuwa nafahamu kwamba Abiudi Shayo ni SIMBA SPORTS
Lakini bado nikakutetea,nikasimama na wewe.Na nafikiri hivyo ndo WANAUME wote tulivyo au mnasemaje ndugu zangu?
Wanaume huwa tunateteana.Tunalindana siku zote.Ingawa kama UNAVULIWA UBINGWA hili litakuwa gumu kidogo kwako.
Ni sawa Lengai ole nasha amekusadia Kupata Kazi,Lakini ndo akugueze uwe adui Yangu? Je akikwambia na wwe uanze kuvuliwa ubingwa kama yeye utakataa??
Halafu Insanity kuliko yote ni pale ulipoanza kuhoji Knowledge yangu kwenye Football.Yani wewe mshika CHETEZO unahoji understanding yangu Mimi ya FOOTBALL?
How dare you?
Nitarejea Baadae kidogo"
[emoji361] Wilson Oruma
"...Abiudi Shayo aka @privaldinho Jana (juzi) umenipiga Sanaaaa.
Nimepata simu nyingi sana watu wakaniuliza huyu si ndo wewe ulibaki nae peke yako kumtetea wakati Mashabiki wa Yanga wakimkataa wakisema ni SIMBA SPORTS?
Nikawaambia nikweli na hivyo Mimi ndo nilivyo kwa watu Wangu.Kwa yyte ambaye ni Mwanangu anaweza kushuhudia Hilo.
So nikawaambia hivyo ndo nilivyo kwa Wanangu wote.Kama wewe ni Mwanangu will defend you always
Yani naweza kufahamu Kila kitu kuhusu wewe.Kama ambavyo nilikuwa nafahamu kwamba Abiudi Shayo ni SIMBA SPORTS
Lakini bado nikakutetea,nikasimama na wewe.Na nafikiri hivyo ndo WANAUME wote tulivyo au mnasemaje ndugu zangu?
Wanaume huwa tunateteana.Tunalindana siku zote.Ingawa kama UNAVULIWA UBINGWA hili litakuwa gumu kidogo kwako.
Ni sawa Lengai ole nasha amekusadia Kupata Kazi,Lakini ndo akugueze uwe adui Yangu? Je akikwambia na wwe uanze kuvuliwa ubingwa kama yeye utakataa??
Halafu Insanity kuliko yote ni pale ulipoanza kuhoji Knowledge yangu kwenye Football.Yani wewe mshika CHETEZO unahoji understanding yangu Mimi ya FOOTBALL?
How dare you?
Nitarejea Baadae kidogo"
[emoji361] Wilson Oruma