Ndio nani huyo??
Kwa wabongo tuanzie Zenj kwanza,kule mpaka serikali inatenga pesa ya umma kupereka waislam kuhiji Maka!!ukikutwa una kula wakati wa mfungo,ni kosa la jinai,wakati wa mfungo,ni Swala la kiserikali linasimamiwa na mamlaka za kipolisi kabisa!!mkristo Hana uhuru kabisa wakati wa mwezi wa ramadhani,Punde tu baada ya Rais mpya wa Kenya bwana Ruto na mke wake Rachel kuinga Ikulu kumeonekana mfululizo wa viongozi wengi wa dini(hasa ya Ukristo) wakimiminika katika Ikulu hiyo hali ambayo imezua majibishano kutoka pande mbalimbali za Kenya.
View attachment 2358789View attachment 2358790View attachment 2358792View attachment 2358793
Ukweli kabisa π π π π π π π π πNaskia environment za Kenyata kulikuwa na bonge la bar hapo ikulu. MK254 ni kweli?
ππππ Nilionya mapema Sana hili.Punde tu baada ya Rais mpya wa Kenya bwana Ruto na mke wake Rachel kuinga Ikulu kumeonekana mfululizo wa viongozi wengi wa dini(hasa ya Ukristo) wakimiminika katika Ikulu hiyo hali ambayo imezua majibishano kutoka pande mbalimbali za Kenya.
View attachment 2358789View attachment 2358790View attachment 2358792View attachment 2358793
Amen Man Of GodGod is good, all the time.
Haa MwafaaPoleni majirani, ukablia nyie, njaa nyie, udini nyie...