Mnyukano waibuka kuhusu dini moja kuchukua nafasi ya mbele Ikulu ya Kenya

Shetani hata viongozi wacha Mungu. Ruto nyumbani kwake sasa ni Ikulu ya Kenya.
 
Kwa wabongo tuanzie Zenj kwanza,kule mpaka serikali inatenga pesa ya umma kupereka waislam kuhiji Maka!!ukikutwa una kula wakati wa mfungo,ni kosa la jinai,wakati wa mfungo,ni Swala la kiserikali linasimamiwa na mamlaka za kipolisi kabisa!!mkristo Hana uhuru kabisa wakati wa mwezi wa ramadhani,
 
Punguzeni ulalamishi Kenyatta alikua na bar ndani huyu wanahudhuria waliomwombea enzi na kabla yakampeni mnaaza kulalama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…