MO amenunua gari inayoaminika kuwa na mfumo mkubwa wa ulinzi wa kidigitali

Hakuna foolptoof security hasa ukipaniwa na binadamu mwenye uwezo wa kuzi "remote" mashine au gadgets mbalimbali kama wanaume wakikupania hata personal bodyguard wako unayemwamini anakimbia lindo lake !
 
Anaruka ruka tu huku na kule bila kukaa chini na kutwaambia yote yaliyojiri kuhusu kutekwa kwake. Bila ya shaka walimtisha sana kuhusu kuongea na pia wamechukua mabilioni mengi sana kutoka kwake.

Kwani hao watekaji mbona hadi sasa hatujaambiwa ni kina nani?ina maana hawajakamatwa kama wale walio mshambulia Lissu?
 
Hizi zote ni shida za dunia tuu mtu kununua ndio mana ake anajilinda watekaji? Sasa ishafahamika lina makamera ko zitamkinga asipate ajali? Wahalifu wakiamua wanatia moto hilo gari na kumuibia au kumfanya vyovyote wanaweza. Ko msipende kuropoka vitu ambavyo hamvijui unakimbilia kupost tu umbea umbea.
 
Yani gari la 200m ndio imekuwa habari kiasi hiki? Inamaana lile benz la mengi halifiki thamani hii?
 
Huna hela kaa kimya
 
Si kila kitu ni cha kujadili hapa!?

Let some pass...
 
Kwani hao watekaji mbona hadi sasa hatujaambiwa ni kina nani?ina maana hawajakamatwa kama wale walio mshambulia Lissu?
Walianza kutuonyesha gari lililotumika kumteka, wakaja wakatuonyesha nyumba ikiyotumika kumhifadhi, wakaja wakatuonyesha silaha zilizotumika kumteka.

Episode itakayofuata watatuonyesha nguo walizovaa watekaji.

Baada ya hapo watatuonyesha viatu walivyovaa watekaji.

Lakin mwisho wa siku watekaji hawatajulikana mpaka ccm itakapotoka madarakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…