technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Hatuoni hata fukuto itoshe kusema utopolo wana kimuhemuheKwahiyo home boy ulitaka awaeleze wakakate mauno sio? mbona mashabiki wa uto mnawenge sana sasa hapo kawachana nini? na kufukuta kuko wapi sasa hapo?
Sasa kuwaambia wachezaji ukweli ndio bundi katua?Tukiwaambia Makolo FC kunafukuta mnabisha?
Mo anawaambia wachezaji wa simba wajitume waache kubweteka kama wanavyofanya sasa
Bundi katua Makolo fc
KolokwinyoUtopwenga
Hii lugha gani mkuu?Taitu Kalesa ndili muche makolo
Boss wetu yeye uwa anacheza namba 12 na mchezo wake anacheza kabla ya mechi ila sasa amechoka kuendelea kuicheza hiyo namba ndio maana mambo hayawi mazuri!Kanjibhai aingie yeye acheze
Nalog off
Kimambwe ambao wanapatikana mpakani mwa Zambia na Tanzania katika mkoa wa RukwaHii lugha gani mkuu?