Mo aweka 500milion Simba akishinda ingawa hata yeye anajua tu haiwezekani

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Habari wakuu

Rais wa heshima na Mwekezaji wa klabu ya Simba SC Mohammed Dewji Maarufu ‘MO’ ameweka ahadi nono kwa wachezaji na benchi la ufundi endapo wataweza kufuzu kwenda hatua ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa barani Afrika msimu 2023-20 24.

Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba SC, Salim Abdallah ‘Try Again’amesema motisha imetolewa ni kubwa hivyo ni jukumu la wachezaji kujituma na kupata matokeo katika mchezo huo.

Je tajiri anatuzuga...au yupo serious....???
Au Kwa vile anajua hili ni impossible [emoji23][emoji23] Kwa makolo kushinda
 
hamasa muhimu na ya maana sana hii 🐒
Kila la kheri Simba huko Cairo
 
Simba ikishinda, utasikia anasema alitumia milion 500 kwenye maandalizi ya timu hivyo imekuwa used kwa wachezaji tayari.

Tajiri poyoyo huyu dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…