Mo Dewj asema atazungumza na Wana Simba Instagram ili Wafanye usajili wa kishindo

Mo Dewj asema atazungumza na Wana Simba Instagram ili Wafanye usajili wa kishindo

babu onyango

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2023
Posts
378
Reaction score
984
Mmiliki wa klabu ya Simba ndugu Mohamed Dewji amesema ya kwamba atazungumza na wanasimba instagram live ili wamueleze changamoto za klabu yao ikiwemo wachezaji gani wafukuzwe katika klabu ya Simba..

Pia amewaomba wanasimba waandae majina ya wachezaji wanaoona wanafaa ili awasajili dirisha lijalo la usaji..

Kwako mwana Simba je unapendekeza nani afukuzwe na nani asajiliwe?


 
Mo amegoma kushika matunguri
GKW-QiHXMAAtItI.jpeg
 
Mmiliki wa klabu ya Simba ndugu Mohamed Dewji amesema ya kwamba atazungumza na wanasimba instagram live ili wamueleze changamoto za klabu yao ikiwemo wachezaji gani wafukuzwe katika klabu ya Simba..

Pia amewaomba wanasimba waandae majina ya wachezaji wanaoona wanafaa ili awasajili dirisha lijalo la usaji..

Kwako mwana Simba je unapendekeza nani afukuzwe na nani asajiliwe?
Anajua kuwachezeeni akili
 
Kwanza kitendo Cha kuwajadili live wachezaji kwenye mitandao ya kijamii ni. Unyanyasaji na uvunjaji mkubwa wa haki za binaadamu . Namwamuru asitishe utopolo huo mara Moja. Kama unataka kuacha wachezaji Kuna njia za kufanya lakini sio kuwapa nafasi mashabiki kuwashambulia mitandaoni. Sisi watetezi wa haki za wachezaji tutarika naye kama mwewe
 
Kwanza kitendo Cha kuwajadili live wachezaji kwenye mitandao ya kijamii ni. Unyanyasaji na uvunjaji mkubwa wa haki za binaadamu . Namwamuru asitishe utopolo huo mara Moja. Kama unataka kuacha wachezaji Kuna njia za kufanya lakini sio kuwapa nafasi mashabiki kuwashambulia mitandaoni. Sisi watetezi wa haki za wachezaji tutarika naye kama mwewe
Mwenye mali yake ndio kashasema, we kajambana nani huwezi fanya kitu, sana sana andaa majina ya wachezaji wakufukuzwa
 
Kumbuka Simba ni mali ya Mo Dewj huu mwaka wa tano sasa, unataka kubishana na tajili wewe?
Hilo nalitambua kabisa ni Mali yake halali kabisa na wanaopiga kelele timu ikifungwa hawatambukliki kwa sababu hawana hisa hata Moja na haeachangii chochote kwenye timu. Lakini hana mamlaka ya kuwadhalilisha wachezaji live
 
Anapen
Mmiliki wa klabu ya Simba ndugu Mohamed Dewji amesema ya kwamba atazungumza na wanasimba instagram live ili wamueleze changamoto za klabu yao ikiwemo wachezaji gani wafukuzwe katika klabu ya Simba..

Pia amewaomba wanasimba waandae majina ya wachezaji wanaoona wanafaa ili awasajili dirisha lijalo la usaji..

Kwako mwana Simba je unapendekeza nani afukuzwe na nani asajiliwe?
Anapenda kutrend huyu.
 
Back
Top Bottom