martial jb
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 863
- 1,462
Habari wakuu,
Mohammed Ghulam Dewji, ameendelea kuwa top kwenye suala zima la utajiri nchini Tanzania. Licha ya bilionea huyo kuchukuliwa poa nchini ila ndio bilionea no.1 kijana barani Afrika na anashikilia no.15 kati ya mabilionea wote Afrika kutokana na taarifa za Forbes na Bloomberg.
Mo Dewji ni tajiri pekee Tanzania aliefikia utajiri wa thamani ya dollar bilioni 1.5 na hakuna Mtanzania yeyote aliewahi kufikia kiwango hicho. Pia ni bilionea pekee wa kitanzania mwenye biography kwenye jarida la Bloomberg, zaidi ya huyo hakuna bilionea mwingine alieongelewa au kutajwa na jarida hilo.
Kwa upande mwingine bilionea Rostam Aziz ameshikilia no.2 kwa mabilionea nchini kwa utajiri wa thamani ya $900M, huku mwakilishi wa wachaga Marehemu Mhe.Reginald Mengi akishika no.3 kwa utajiri wa $680M, Said Salim Bakhresa akifuata kwa kuwa na utajiri wa $600M.
Mohammed Ghulam Dewji, ameendelea kuwa top kwenye suala zima la utajiri nchini Tanzania. Licha ya bilionea huyo kuchukuliwa poa nchini ila ndio bilionea no.1 kijana barani Afrika na anashikilia no.15 kati ya mabilionea wote Afrika kutokana na taarifa za Forbes na Bloomberg.
Mo Dewji ni tajiri pekee Tanzania aliefikia utajiri wa thamani ya dollar bilioni 1.5 na hakuna Mtanzania yeyote aliewahi kufikia kiwango hicho. Pia ni bilionea pekee wa kitanzania mwenye biography kwenye jarida la Bloomberg, zaidi ya huyo hakuna bilionea mwingine alieongelewa au kutajwa na jarida hilo.
Kwa upande mwingine bilionea Rostam Aziz ameshikilia no.2 kwa mabilionea nchini kwa utajiri wa thamani ya $900M, huku mwakilishi wa wachaga Marehemu Mhe.Reginald Mengi akishika no.3 kwa utajiri wa $680M, Said Salim Bakhresa akifuata kwa kuwa na utajiri wa $600M.