Mo Dewji aendelea kukimbiza kwa utajiri nchini

Mo Dewji aendelea kukimbiza kwa utajiri nchini

martial jb

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
863
Reaction score
1,462
Habari wakuu,

Mohammed Ghulam Dewji, ameendelea kuwa top kwenye suala zima la utajiri nchini Tanzania. Licha ya bilionea huyo kuchukuliwa poa nchini ila ndio bilionea no.1 kijana barani Afrika na anashikilia no.15 kati ya mabilionea wote Afrika kutokana na taarifa za Forbes na Bloomberg.

Mo Dewji ni tajiri pekee Tanzania aliefikia utajiri wa thamani ya dollar bilioni 1.5 na hakuna Mtanzania yeyote aliewahi kufikia kiwango hicho. Pia ni bilionea pekee wa kitanzania mwenye biography kwenye jarida la Bloomberg, zaidi ya huyo hakuna bilionea mwingine alieongelewa au kutajwa na jarida hilo.

Kwa upande mwingine bilionea Rostam Aziz ameshikilia no.2 kwa mabilionea nchini kwa utajiri wa thamani ya $900M, huku mwakilishi wa wachaga Marehemu Mhe.Reginald Mengi akishika no.3 kwa utajiri wa $680M, Said Salim Bakhresa akifuata kwa kuwa na utajiri wa $600M.
 
Sisi masikini tunachojua ni chuki dhidi ya waliofanikiwa/matajiri.Utakuta mtu anaanzisha mada "Sielewi utajiri wa mo chupri chupri,ni janjajanja tu" ..wakati huo jumapili hii anafua nguo Kisha anaanika kamba ya jirani na vibanio anaiba wakati vinauzwa buku tu.
 
Habari wakuu,

Mohammed Ghulam Dewji, ameendelea kuwa top kwenye suala zima la utajiri nchini Tanzania. Licha ya bilionea huyo kuchukuliwa poa nchini ila ndio bilionea no.1 kijana barani Afrika na anashikilia no.15 kati ya mabilionea wote Afrika kutokana na taarifa za Forbes na Bloomberg.

Mo Dewji ni tajiri pekee Tanzania aliefikia utajiri wa thamani ya dollar bilioni 1.5 na hakuna Mtanzania yeyote aliewahi kufikia kiwango hicho. Pia ni bilionea pekee wa kitanzania mwenye biography kwenye jarida la Bloomberg, zaidi ya huyo hakuna bilionea mwingine alieongelewa au kutajwa na jarida hilo.

Kwa upande mwingine bilionea Rostam Aziz ameshikilia no.2 kwa mabilionea nchini kwa utajiri wa thamani ya $900M, huku mwakilishi wa wachaga Marehemu Mhe.Reginald Mengi akishika no.3 kwa utajiri wa $680M, Said Salim Bakhresa akifuata kwa kuwa na utajiri wa $600M.
Hapo kwenye "mwakilishi wa Wachagga" kuna kitu si sahihi.Ubaguzi huo.
 
Marehemu nao ni matajiri kuliko walio hai?

Hiz data za lini...

Kwa hio mengi ni tajiri kuliko walio hai?
Unafuatilia kweli data za matajiri!!!?? Mara ya mwisho forbes uliingia lini ukaona Mengi hayupo!!?? Kanywe chai urudi uje kuniambia nani amekwambia bilionea akifa anaondolewa kwenye orodha ya matajiri. Maana naona hujanywa chai
 
Unafuatilia kweli data za matajiri!!!?? Mara ya mwisho forbes uliingia lini ukaona Mengi hayupo!!?? Kanywe chai urudi uje kuniambia nani amekwambia bilionea akifa anaondolewa kwenye orodha ya matajiri. Maana naona hujanywa chai
Hivi kwa nini mafukara wengi ,hasa nchi ya Tanzania, wanapenda sana kujadili na kubishana kuhusu utajiri na matajiri?
 
Unafuatilia kweli data za matajiri!!!?? Mara ya mwisho forbes uliingia lini ukaona Mengi hayupo!!?? Kanywe chai urudi uje kuniambia nani amekwambia bilionea akifa anaondolewa kwenye orodha ya matajiri. Maana naona hujanywa chai
Sasa michambo yote ya nini?

Mimi nimeuliza tu...kwamba mengi yupo kwenye orodha na alishakufa?

Vip list ya matajiri ni ya wote waliokufa na hai?
 
Ndio maana nikakwambia nenda forbes utakuta habari zake, sio lazima kuniamini mimi mosejigrafi
Haujaelewa hoja yangu.Umeandika "mwakilishi wa Wachaga" kwa Mengi.Kwa nini haukuandika "mwakilishi wa Wahindi/Wanyaturu/Wanyamwezi" kwa hao akina Dewji na Rostam?Ni vema tu ungeishia kuandika "Watanzania"!
 
Habari za Tajiri mwachie Maskini.
Tatizo letu watanzania, tuna laana moja hivi ambayo wengi inatutafuna;
Laana hii ni kukosa elimu na upembuzi wa vitu.

Kwa nini hutaki kusikia habari za matajiri, kwa sababu;
  • umekata tamaa na ukiangalia umri unazidi kwenda, So unafikiri huwezi fika wale walipofika
  • Chuki binafsi kwa waliofanikiwa

Sasa basi;
Hutaki story za matajiri ila mpira unataka, MMU unahudhuria, uzi wa selfika wew ndo namba moja
 
Outdated maana Mengi hadi anakufa mali zake hazikuwa zinafikia hiyo pesa
 
Sasa michambo yote ya nini?

Mimi nimeuliza tu...kwamba mengi yupo kwenye orodha na alishakufa?

Vip list ya matajiri ni ya wote waliokufa na hai?
Inajumuisha mzee, nani kakwambia mtu anazikwa na kampuni zake
 
Haujaelewa hoja yangu.Umeandika "mwakilishi wa Wachaga" kwa Mengi.Kwa nini haukuandika "mwakilishi wa Wahindi/Wanyaturu/Wanyamwezi" kwa hao akina Dewji na Rostam?Ni vema tu ungeishia kuandika "Watanzania"!
Wachaga ni kabila pekee lilitoa bilionea na kuingia kwenye orodha za Forbes, hao wengine ni wahindi wabantu
 
Back
Top Bottom