MO Dewji afafanua uwekezaji Klabu ya Simba na kuwahakikishia yupo Simba SC haendi popote!

MO Dewji afafanua uwekezaji Klabu ya Simba na kuwahakikishia yupo Simba SC haendi popote!

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Klabu ya Simba SC, Mohammed Dewji 'MO' leo Julai 27, 2019 amefafanua kuhusu uwekezaji kwenye Klabu ya Simba SC huku akiwahakikishia wanachama na mashabiki kuwepo kwake kunako Klabu ya Simba SC.

"Nimesikitishwa na mijadala mitandaoni ya kumshutumu Waziri Mwakyembe kwamba ameanzisha utaratibu mpya wa mwekezaji kuwa na 49% na wanachama 51% ya hisa, Ndugu zangu si kweli Utaratibu huo upo tangu 2017 kisheria na sisi Simba tulikubali.

Waziri Mwakyembe alituruhusu sisi tuendelee na mwekezaji mmoja. Ndugu zangu Wanasimba mimi nipo na niko na nyinyi siendi popote.

Na sasa tushazungumza na Serikali na mazungumzo mazuri. Nawasihi wanasimba wote twendeni tukaishangilie timu ya Taifa na tukutane Simba Day tarehe 6.

Tulianza vizuri na Serikali na tutamaliza vizuri na Serikali"

•••Ameandika MO kwenye ukurasa wake wa Twitter

FB_IMG_1564230471983.jpeg
FB_IMG_1564230331131.jpeg
 
Uzuri ni kwamba alichosema na alivyofanya haviendani. Anajua wazi viongozi wa simba kawaweka mfukoni ishu ni SERIKALI na hapo ndio aliposhindwa.
Ishu za HISA hazihitaji UPENZI MAANDAZI ni just a business ambapo tunasema upande utaojipindua itakula kwao. MO anadhani simba watajipindua iwe ameokota BANDA LA BIASHARA PALE KARIAKOO.
 
Uzuri ni kwamba alichosema na alivyofanya haviendani. Anajua wazi viongozi wa simba kawaweka mfukoni ishu ni SERIKALI na hapo ndio aliposhindwa.
Ishu za HISA hazihitaji UPENZI MAANDAZI ni just a business ambapo tunasema upande utaojipindua itakula kwao. MO anadhani simba watajipindua iwe ameokota BANDA LA BIASHARA PALE KARIAKOO.
Inakuuma sana
 
Hapana muzungu kuwekeza Tz. kwa shababu huyo mutu ikiwekeza simba, mimi kibarua itaota nyashi na nitaenda Congo kusakata ndombolo.

Kitu ambayo ilivunja miuno yangu mpka vyura fc iliponiona ikiwa mimi imekaa kene wheel chair. Watoto wa dimbwini nao wakapiga kelele "kilomoni hoyeee


ILISIKIKA SAUTI YA MLEVI MMOJA TOKA JANGWANI WA KUITWA MWINYIMVUA ZUHURA.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Uzuri ni kwamba alichosema na alivyofanya haviendani. Anajua wazi viongozi wa simba kawaweka mfukoni ishu ni SERIKALI na hapo ndio aliposhindwa.
Ishu za HISA hazihitaji UPENZI MAANDAZI ni just a business ambapo tunasema upande utaojipindua itakula kwao. MO anadhani simba watajipindua iwe ameokota BANDA LA BIASHARA PALE KARIAKOO.

Kijana mdogo lakini mshirikina
 
Uzuri ni kwamba alichosema na alivyofanya haviendani. Anajua wazi viongozi wa simba kawaweka mfukoni ishu ni SERIKALI na hapo ndio aliposhindwa.
Ishu za HISA hazihitaji UPENZI MAANDAZI ni just a business ambapo tunasema upande utaojipindua itakula kwao. MO anadhani simba watajipindua iwe ameokota BANDA LA BIASHARA PALE KARIAKOO.
Hivi we kwa akili yako ndogo unahisi mo anakosa milioni 700 kununua eneo LA kujanga eneo LA biashara kariakoo??
 
Eti kuna mashabiki wa ndala nawao wamejipachika kwenye huu mzozo wa club kubwa nchini ya simba sports club,
Mzozo wa simba unawaathiri mpaka gongo wazi fc,
Ama kweli simba taifa kubwa,club ya taifa,timu ya wananchi,
 
Back
Top Bottom