Mo Dewji ameikacha Simba?

Abramovich umemsikia lini?
GSM
Grazer
Yule jamaa Liverpool
Umewasikia lini
Hao ni wawekezaji siyo viongozi wa timu
 
Yanga bahana. Tabia za kimaskini sikini tu. Timu ya yanga ni timu maskini ndio maana mawazo yao ni ya kimaskini tu.

Wanaongoza ligi lakini bado wanalalamika. Maskini haaminiki.
 

Ataiachaje Simba wakati ana umiliki wa asilimia 49?. Kuiacha inatakiwa auze hiza zake.
 
Wa matopeni mnateseka sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…