Habari nilizozipata muda mfupi uliopita zinadai Mhe. Mohammed Dewji mbunge wa Singida Mjini ameshinda kesi iliyokuwa imefunguliwa na wapinzani wake na yeye kuwashinda katika pingamizi alilowawekea hivyo kubakia pekee kwenye kinyang'anyiro cha nafasi ya ubunge kwa jimbo hilo, hIi inamaanisha njia ni nyeupe kurejea mjengoni. Habari zaidi tutapeana kadiri muda unavyosonga
Kimsingi huyu panchoro ni fisadi mkubwa..... ngoja kuna issues zake zinafuatiliwa na watu waliodhamiria kuikomboa Tanzania. Siku yake itafika atakapolia na kusaga meno.Habari nilizozipata muda mfupi uliopita zinadai Mhe. Mohammed Dewji mbunge wa Singida Mjini ameshinda kesi iliyokuwa imefunguliwa na wapinzani wake na yeye kuwashinda katika pingamizi alilowawekea hivyo kubakia pekee kwenye kinyang'anyiro cha nafasi ya ubunge kwa jimbo hilo, hIi inamaanisha njia ni nyeupe kurejea mjengoni. Habari zaidi tutapeana kadiri muda unavyosonga
Kimsingi huyu panchoro ni fisadi mkubwa..... ngoja kuna issues zake zinafuatiliwa na watu waliodhamiria kuikomboa Tanzania. Siku yake itafika atakapolia na kusaga meno.
Kimsingi huyu panchoro ni fisadi mkubwa..... ngoja kuna issues zake zinafuatiliwa na watu waliodhamiria kuikomboa Tanzania. Siku yake itafika atakapolia na kusaga meno.
wewe si mwanamahesabu?sasa wabunge wa chama tawala wafikia wangapi? ambao ni sawa na asilimia ngapi?
Ngoma imeanza tusipoangalia tutabaki na Dr.Slaa na Mbowe .........!
Mkuu kama nimekusoma vizuri unasema kwamba baada ya kushinda kesi hiyo hakuna wagombea wa Upinzani kabisa au au unazungmzia mwakilishi wa CCM Singida hana upinzani tena toka ndani ya chama.Habari nilizozipata muda mfupi uliopita zinadai Mhe. Mohammed Dewji mbunge wa Singida Mjini ameshinda kesi iliyokuwa imefunguliwa na wapinzani wake na yeye kuwashinda katika pingamizi alilowawekea hivyo kubakia pekee kwenye kinyang'anyiro cha nafasi ya ubunge kwa jimbo hilo, hIi inamaanisha njia ni nyeupe kurejea mjengoni. Habari zaidi tutapeana kadiri muda unavyosonga
wapinzani wamesimamisha watu (chadema + cuf) bali mo kawawekea pingamizi wote wawili na pingamizi lake limekubaliwaMkuu kama nimekusoma vizuri unasema kwamba baada ya kushinda kesi hiyo hakuna wagombea wa Upinzani kabisa au au unazungmzia mwakilishi wa CCM Singida hana upinzani tena toka ndani ya chama.
Usitake kunambia hata Singida Mjini vyama vya Upinzani vimeshindwa kusimammisha mgombea, mkoa ambao umeachwa nyuma kuliko mikoa yoite Tanzania tunashindwa kuweka mwakilishi jamani? eeeeh yaani kweli tunawajali wananchi au huu ni mchezo wa kuigiza!
Kimsingi huyu panchoro ni fisadi mkubwa..... ngoja kuna issues zake zinafuatiliwa na watu waliodhamiria kuikomboa Tanzania. Siku yake itafika atakapolia na kusaga meno.
Aaaah! siasa za Bongo hata sina hamu nazo..wapinzani wamesimamisha watu (chadema + cuf) bali mo kawawekea pingamizi wote wawili na pingamizi lake limekubaliwa
initially hawa jamaa wa upinzani walimwekea mo pingamizi lakini halikupita
Aaaah! siasa za Bongo hata sina hamu nazo..
Aaaah! siasa za Bongo hata sina hamu nazo..
Kaka Mkandara pole sana. Watanzania wanapelekwa na upepo hakuna mawazo binafsi, muda si mrefu watakuwa wanaburuzwa na miziki ya kina Komba na Vicky Kamata