Mo Dewji asema wameanzisha Kampeni ya kukusanya chupa za rangi nyeusi, wameshakusanya tani 21

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Your browser is not able to display this video.

Video kutoka kwa Mohamed Dewji "MO"

Mwezi uliopita, tulizindua kampeni ya kuongeza ukusanyaji wa chupa za rangi. Tulikusanya tani 21 za chupa nyeusi kwa ajili ya kuchakata!

MeTL ni fahari kuwa mwanachama wa Petpro, shirika la wajibu wa ziada za wazalishaji wa chupa za PET kwa ajili ya ukusanyaji na kuchakata.

Tumejitolea kuongeza juhudi zetu za kuchakata. Pamoja, tunaweza kuunda maisha ya usafi na ya kijani kibichi.

====

Last month, we launched a campaign to boost the collection of colored bottles. We gathered 21 metric tons of black bottles for recycling! โ™ป๏ธ

MeTL is a proud member of Petpro, an extended producer responsibility collective for PET bottle collection and recycling.

We are committed to scaling up our recycling efforts. Together, we can create a cleaner, greener future.

Pia soma ~ Tumeamua Jiji la (Dar) lipambwe na chupa za Energy drink? au wazalishaji wa bidhaa hizo wapo juu ya Sheria

===== ========

๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ๐—ป ๐—ฏ๐—ถ๐—น๐—น๐—ถ๐—ผ๐—ป๐—ฎ๐—ถ๐—ฟ๐—ฒ ๐—น๐—ฎ๐˜‚๐—ป๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜€ ๐—ฐ๐—ฎ๐—บ๐—ฝ๐—ฎ๐—ถ๐—ด๐—ป ๐˜๐—ผ ๐—ฟ๐—ฒ๐—ฐ๐˜†๐—ฐ๐—น๐—ฒ ๐—ฐ๐—ผ๐—น๐—ผ๐˜‚๐—ฟ๐—ฒ๐—ฑ ๐—ฏ๐—ผ๐˜๐˜๐—น๐—ฒ๐˜€

Tanzanian billionaire Mohamed Dewji has announced the launch of a campaign by his company MeTL to recycle coloured bottles.

Dewji, who is the President of MeTL, said the Dar es Salaam-based beverage producer launched the campaign in May this year.

"Last month, we launched a campaign to boost the collection of coloured bottles, gathering 21 metric tonnes of black bottles for recycling," Dewji announced on X.

"We are committed to scaling up our recycling efforts for a cleaner, greener future."

Dewji said MeTL is a member of PETpro, which is an industry-managed producer responsibility organisation (PREO) practicing voluntary extended producer responsibility.

Dewji told CNN last year that MeTL sells 1 billion bottles of its popular energy drink Mo Xtra a year.

The company wants to hit 3.5 billion bottles a year over the next 2-3 years.

The problem with energy drinks is that it is a light-sensitive product that comes in coloured bottles, which were not previously recycled.

The Bakhresa Group, another major producer, is yet to make public its plans to recycle coloured bottles of its Azam Energy drink.

Recycled PET (rPET) plastic can be made into bottles, clamshell food containers, trays, cups, carpet, clothing, fiber fill, and many other materials.

Clear and light blue bottles are the most economically attractive feedstock for mechanical recyclers, as the resulting clear rPET is in high demand for the production of items such as bottles and thermoforms, both for food and non-food applications.

This means that coloured PET bottles, mostly used for energy drinks and other beverages, are being discarded into the environment as recyclers prefer clear and light blue bottles.

Some countries, including South Korea and India, have banned hard-to-recycle plastic products, such as coloured PET bottles.

Discussions on similar voluntary or regulatory bans are ongoing in other companies or countries worldwide.

Source: Tanzania Business Insight
 
Hapo ndipo najiuliza. Hivi ile misitu waliokabidhiwa huko Umasaini, ndio wanapoenda kuzitupa huko?

Aisee.

Tuambiane ukweli, haya mambo sijui ya recycling asilimia karibia 80% ni hadaa. Fuatilieni huko maporini Umasaaiani wanaenda kufanya nini.
 
Asiite kampeni, hii ni biashara.
Nina uhakika Mo hawezi fanya ukusanyaji wa chupa kama haina faida.
Ni fungu la Climate change mitigation policy-Kuna hela mingi sana-haina ubishi. La kujiuliza wanaenda kufanya nini na hizo chupa? Recycling?

Na wasiwasi wanaenda kukusanya na kuzitupa(kuzichimbia makaburi) Umasaini.

Ati wanapunguza Enviromental damage? Wapate tax abatements na climate change monies?
 
Hapo ndipo najiuliza. Hivi ile misitu waliokabidhiwa huko Umasaini, ndio wanapoenda kuzitupa huko?

Aisee.

Tuambiane ukweli, haya mambo sijui ya recycling asilimia karibia 80% ni hadaa. Fuatilieni huko maporini Umasaaiani wanaenda kufanya nini.
Chupa hazitupwi zinasagwa kisha wanauza kuwa malighafi za kuzalisha nguo,viatu,mabegi,mabomba nk
 
Sio wao pekee ndio wanakusanya chupa we uoni vijiwe ni vingi mjini na ni biashara yenye pesa chafu utajiri nje nje
 
Haya machupa ya jalalani ndo tunanywea tena hizi mo energy damn shit, ndo maana dar kila kona kuna majalala ya taka plastic kumbe biashara ya mo, kule buguruni kuna jamaa kaajiri vichaa na wehu kukusanya chupa sijui wanalipanaje
 
Unaelewa maana ya recycling?
Zinatengenezwa upya na kujazwa kinywaji zinarudi mtaani.
Kipi cha ajabu hapo?
Watu mliozoea mataputapu hamtumii chupa sishangai ukishangaa.
 
Unaelewa maana ya recycling?
Zinatengenezwa upya na kujazwa kinywaji zinarudi mtaani.
Kipi cha ajabu hapo?
Watu mliozoea mataputapu hamtumii chupa sishangai ukishangaa.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nakushanga wewe sasa. Duh Ati nilizoe mataputapu๐Ÿ™Œ๐Ÿพ Kwani nilivunja sheria ya Nchi?

Jikite kwenye mada mkuu.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚โœŒ๏ธ

========
Tueleze watanzania Recycling ni nini? manake unadai unaijua.
 
Unaelewa maana ya recycling?
Zinatengenezwa upya na kujazwa kinywaji zinarudi mtaani.
Kipi cha ajabu hapo?
Watu mliozoea mataputapu hamtumii chupa sishangai ukishangaa.
Sio lazima wajazie vinywaji upya, wanaweza hata kutengezea vitu vingine kama makapeti, mifagio au hata nguo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ