OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
UONGOZI SIMBA SC WAWAMWAGIA FEDHA WACHEZAJI
Uongozi wa Mabingwa Tanzania Bara Simba SC kwa kushishirikiana na Muwekezaji wao Mohammed Dewji (Mo) umetimiza ahadi yao kwa kikosi Cha Simba SC kwa kutoa motisha ya Shilingi milioni 84 kwa kufanikiwa kuingia hatua ya makundi Klabu bingwa Afrika na kutoa tena ahadi endapo watafanya vizuri katika hatua hiyo, watawapa pesa nyingine zaidi ya hiyo.
Walioanza kikosi cha kwanza siku ya mchezo dhidi ya Nkana FC wamepata millioni 4 kila mmoja, walioingia kipindi cha pili Sh.2 millioni kila mmoja , walionzia benchi sambamba na wale ambao hawakuwa sehemu ya mchezo wote wamevuta Sh.millioni 2.
Nahodha wa klabu hiyo John Bocco ameushukuru Uongozi na kutoa ahadi ya kufanya vyema hatua ya makundi ili kulipa fadhila kwa uongozi na wanachama wao.
Uongozi wa Mabingwa Tanzania Bara Simba SC kwa kushishirikiana na Muwekezaji wao Mohammed Dewji (Mo) umetimiza ahadi yao kwa kikosi Cha Simba SC kwa kutoa motisha ya Shilingi milioni 84 kwa kufanikiwa kuingia hatua ya makundi Klabu bingwa Afrika na kutoa tena ahadi endapo watafanya vizuri katika hatua hiyo, watawapa pesa nyingine zaidi ya hiyo.
Walioanza kikosi cha kwanza siku ya mchezo dhidi ya Nkana FC wamepata millioni 4 kila mmoja, walioingia kipindi cha pili Sh.2 millioni kila mmoja , walionzia benchi sambamba na wale ambao hawakuwa sehemu ya mchezo wote wamevuta Sh.millioni 2.
Nahodha wa klabu hiyo John Bocco ameushukuru Uongozi na kutoa ahadi ya kufanya vyema hatua ya makundi ili kulipa fadhila kwa uongozi na wanachama wao.