ynnobygger
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 213
- 200
Ni kama namwona Ibrahim Ajib jinsi alivyopishana na gari la NMB mobile.Ujinga nao ni mzigo kwakweli.
Anateseeeka analia...Ni kama namwona Ibrahim Ajib jinsi alivyopishana na gari la NMB mobile.Ujinga nao ni mzigo kwakweli.
Hapa ndo ule umbumbumbu aliousema Rage unadhihirika liveJiwe kutoa 50m akaita waziri, na media karibu zote na masimango juu...!
Simba ndio wawakilishi sahihi wa nchi, lakini kwa upande mwingine hizi ni habari mbaya kwa gongowaz fc, maana wanavyotoa udenda kwenye huo mpunga...
Mkuu unaonaje tukimsaidia jirani nae apate nauli ya kwenda Mbeya? Siunajua mambo magumu sana upande wa pili?Umenikumbusha kitu. Ona Mo kawapa 80m kimya kimya ila Magu sasa,,bila TV hatoi hela
Mkuu HD ni attacking midfielder hatari sana hasa anapoingia kipindi cha pili baada ya kuusoma mchezo, tizama alipoingia kwenye mchezo wa raundi ya kwanza dhidi ya mbabane swallows hapa dsm, angalia alichokifanya tena kwenye game na Nkana baada ya kutokea bench.Hongera uongozi wa shimba, motisha ni kitu kïzuri sana, ila Dilunga Kichuya na juuko wangewaweka kwenye kundi la kikosi cha kwanza kwani uwezo huo wanao ila ni plan ya mwalimu tu.
Uongozi umpe kimya kimya ili asivuruge utaratibu. Si umeona Musiba alivyompa Kakolanya halafu akasambaza kwenye youtube? Wachezaji wengine wa Yanga wakaenda kumvaa Zahera (utadhani yeye ndio kiongozi)Hili uongozi ulitazame kwa kweli. HD sii sawa kumpa 2m
Mkuu weka kapicha tuoneUONGOZI SIMBA SC WAWAMWAGIA FEDHA WACHEZAJI
Uongozi wa Mabingwa Tanzania Bara Simba SC kwa kushishirikiana na Muwekezaji wao Mohammed Dewji (Mo) umetimiza ahadi yao kwa kikosi Cha Simba SC kwa kutoa motisha ya Shilingi milioni 84 kwa kufanikiwa kuingia hatua ya makundi Klabu bingwa Afrika na kutoa tena ahadi endapo watafanya vizuri katika hatua hiyo, watawapa pesa nyingine zaidi ya hiyo.
Walioanza kikosi cha kwanza siku ya mchezo dhidi ya Nkana FC wamepata millioni 4 kila mmoja, walioingia kipindi cha pili Sh.2 millioni kila mmoja , walionzia benchi sambamba na wale ambao hawakuwa sehemu ya mchezo wote wamevuta Sh.millioni 2.
Nahodha wa klabu hiyo John Bocco ameushukuru Uongozi na kutoa ahadi ya kufanya vyema hatua ya makundi ili kulipa fadhila kwa uongozi na wanachama wao.
Kwenye mechi ya Azam FA inabidi MO awape wachezaji wa Simba kila mmoja milioni 10 Coz wamefanya vizuri sana. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]UONGOZI SIMBA SC WAWAMWAGIA FEDHA WACHEZAJI
Uongozi wa Mabingwa Tanzania Bara Simba SC kwa kushishirikiana na Muwekezaji wao Mohammed Dewji (Mo) umetimiza ahadi yao kwa kikosi Cha Simba SC kwa kutoa motisha ya Shilingi milioni 84 kwa kufanikiwa kuingia hatua ya makundi Klabu bingwa Afrika na kutoa tena ahadi endapo watafanya vizuri katika hatua hiyo, watawapa pesa nyingine zaidi ya hiyo.
Walioanza kikosi cha kwanza siku ya mchezo dhidi ya Nkana FC wamepata millioni 4 kila mmoja, walioingia kipindi cha pili Sh.2 millioni kila mmoja , walionzia benchi sambamba na wale ambao hawakuwa sehemu ya mchezo wote wamevuta Sh.millioni 2.
Nahodha wa klabu hiyo John Bocco ameushukuru Uongozi na kutoa ahadi ya kufanya vyema hatua ya makundi ili kulipa fadhila kwa uongozi na wanachama wao.