Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
Nachukua nafasi hii kumshukuru Dewji kwa kukamilisha ahadi yake na pili kuchangia pesa za usajili - AVEVA
Zimebakia siku chache za usajili na tunatakiwa tulipe Milioni 420 za usajili - AVEVA
Sasa tunaweza kusajili wachezaji na tutatoka kifua mbele - AVEVA
Kupata pesa hizi tunaweza kutamba kwa kupata pesa kutoka kwa Dewji - AVEVA
Tunatoa rai kwa mashabiki wengine kujitoa kama Dewji na sasa tumebaki na hitaji la kama Milioni 300 za usajili - AVEVA
Mchezaji huyo ni Fredrick Blagnon kutoka Ivory Coast. Hakuna makubaliano yoyote ni ahadi niliyoitoa kama shabiki - AVEVA
Mimi sijapinga mabadiliko na mimi ndiyo niliunda kamati. Mabadiliko yapo na mimi kama rais wa Simba naahidi mchakato wa mabadiliko utafanyika, Hili jambo haliwezi kukamilika kwa muda mfupi itachukua muda haiwezi iwe imebakia siku tano ndiyo jambo likamilike.
Nilitaka mchakato ukamilike miezi mitatu iliyopita tutume maskauti kutafuta wachezaji bora Afrika. Simba inawanachama wengi watajitoa watasaidia tutasajili na kuna makampuni tunaongea nao - AVEVA
Swala la mabadiliko ya Simba likipita bajeti itakuwa zaidi ya Bilioni
Zimebakia siku chache za usajili na tunatakiwa tulipe Milioni 420 za usajili - AVEVA
Sasa tunaweza kusajili wachezaji na tutatoka kifua mbele - AVEVA
Kupata pesa hizi tunaweza kutamba kwa kupata pesa kutoka kwa Dewji - AVEVA
Tunatoa rai kwa mashabiki wengine kujitoa kama Dewji na sasa tumebaki na hitaji la kama Milioni 300 za usajili - AVEVA
Mchezaji huyo ni Fredrick Blagnon kutoka Ivory Coast. Hakuna makubaliano yoyote ni ahadi niliyoitoa kama shabiki - AVEVA
Mimi sijapinga mabadiliko na mimi ndiyo niliunda kamati. Mabadiliko yapo na mimi kama rais wa Simba naahidi mchakato wa mabadiliko utafanyika, Hili jambo haliwezi kukamilika kwa muda mfupi itachukua muda haiwezi iwe imebakia siku tano ndiyo jambo likamilike.
Nilitaka mchakato ukamilike miezi mitatu iliyopita tutume maskauti kutafuta wachezaji bora Afrika. Simba inawanachama wengi watajitoa watasaidia tutasajili na kuna makampuni tunaongea nao - AVEVA
Swala la mabadiliko ya Simba likipita bajeti itakuwa zaidi ya Bilioni