Mo Dewji, nakujulisha kuwa Crecentius Magori hajakubali uteuzi wako wa kuwa mshauri wake, vita bado mbichi hii

CCM inapenda mnoooo hoja kama hz kwakua ndio vijana wengi wanapenda. Uku wao mambo ya msingi yakiwa kujinufaisha.
Mtu anashinda INSTA mara kumi kuangalia Asante tu. Na sio maarifa ya kujikwamua na ufukala
Comment hii mwisho umenifurahisha Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…