ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Wewe utakua mnazi wa kutupwa wa Yanga a.k.a CCM-B tu, unahofia MO akiinunua Simba basi mtageuka wateja wa kudumu wa SimbaTatizo la kuona kua ni timu mbili tu ndio zinajua kucheza na kustahili kupewa support litatufikisha pabaya,Ningependa kukushauri Bwn Mo achana na malumbano yanayoendelea na badala yake chagua time nyingine zilizoinukia au katafute hata zingine za chini Uzi inue upandishe kiwango na kupanua uwigo wa sasa tuache kuongelea timu tatu tuongelee timu Nne na zaidi pia kuongeza ushindani.tafadhali pesa unayo kanunue timu nyingine mfano Ndanda,Stendi au hata Toto nk,hapo simba utakuja juta,timu hizo wanaziweza wenyewe!
Mbona mnapenda kupanga matumizi ya hela za wanaume za watu. kwa nini wewe usianzishe kama unapenda from the scratch nani kakutaza. yeye kaamua kuwekeza Simba na Simba tumesema ndiooooo. hizi sijui lion ilimshinda nani alianzia chekechekea Simba hatujui.Bakhresa alianzisha Azam FC from Scratch. Na yeye aanzishe yake, aache maisha ya kuungaunga.
Wewe kinakuuma nini?Mbona African Lyon ilimshinda? Nafikiri analenga wingi wa mashabiki wa simba ili afanye biashara si kukuza soka.
Muuzaji nae hajanyimwa kuja na counter-price,Alishawahi kununua Mbagala Market akachemsha. Sasa ananunua Simba ili aje aiuze kwa faida kubwa baadaye. Mnunuzi kajipangia bei.
Yes, Simba wafanye valuation ya kwao na wataje bei. Hii ya sasa ya mnunuzi kujipangia bei na kiwango cha hisa (51%) haijakaa vizuri.Muuzaji nae hajanyimwa kuja na counter-price,
Bei ya kitu hua ni majadiliano.
Ukiona vyaelea vimeundwa..Wewe kinakuuma nini?
mbona yanga hii ishu inawauma sanaYes, Simba wafanye valuation ya kwao na wataje bei. Hii ya sasa ya mnunuzi kujipangia bei na kiwango cha hisa (51%) haijakaa vizuri.
Ugonjwa wa Simba ndiyo huo huo wa Yanga. Tiba ya Simba inaweza kuwa tiba ya Yanga pia.mbona yanga hii ishu inawauma sana
Tuacheni sisi wamchangani tuhangaike kimchangani,.....nyie si wa kimataifa bana......mna pesa ndefu mnasajili chura milioni 200Ugonjwa wa Simba ndiyo huo huo wa Yanga. Tiba ya Simba inaweza kuwa tiba ya Yanga pia.
Wahindi wanaua soka la bongo. Tangu Manji amechukua Yanga upangaji wa matokeo umeongezeka kwa kasi ya ajabu, sijui huyu nae akichukua Simba ligi itakuwaje!
Sara iwekeni soko la hisa. Mtashangaa wanunuzi wengi ni hao wakimataifa.Tuacheni sisi wamchangani tuhangaike kimchangani,.....nyie si wa kimataifa bana......mna pesa ndefu mnasajili chura milioni 200
haiwekwi soko la hisa...anauziwa Mohamed Gulam Dewji....coz tunamfahamu...hisa zinazobaki zinagawanywa kwa wanachama wa samba waliopo sasa......Sara iwekeni soko la hisa. Mtashangaa wanunuzi wengi ni hao wakimataifa.
Aliekwambia Azam ilianzishwa na bakhresa nan?Bakhresa alianzisha Azam FC from Scratch. Na yeye aanzishe yake, aache maisha ya kuungaunga.
Mbona unadandia treni wewe ...utagongwa bure...niliyekuwa namjibu anaelewa...wewe vipi sasaWewe unadhani kila mtu asipoishabikia Simba atakuwa Yanga siyo?