Pole mnalo hilo! Ulivyokuwa unamsifia Mo! CDMNi kikao gani cha timu ya Simba kilichoidhinisha mtu asiyejua lolote kwenye soka aitwaye Makonda kuwa Mshauri Mkuu?
Nakala okwi boban sunzu
Hata mbumbumbu wanateseka sana kwa anayoyafanya Mohamed! Ila ndio hivyo tena umasikini umewafunga mdomo!Hahaaaah ila kapewa benchi la ufundi...tangu lini wadhamini ndo wanakuwa benchi la ufundi...sasa moo kama anafanya uharamia simba mbona wanaoteseka ni mashabiki wa kwasukwasu??
Hata mbumbumbu wanateseka sana kwa anayoyafanya Mohamed! Ila ndio hivyo tena umasikini umewafunga mdomo!
so mbumbumbu wakiteseka we shabiki la kwasukwasu fc inakuuma nini....nyie pambaneni na litimu lenu bovu njaa fc ambalo sahivi kila mtu anajipigia anavyotaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mbumbumbu wanateseka sana kwa anayoyafanya Mohamed! Ila ndio hivyo tena umasikini umewafunga mdomo!
so mbumbumbu wakiteseka we shabiki la kwasukwasu fc inakuuma nini....nyie pambaneni na litimu lenu bovu njaa fc ambalo sahivi kila mtu anajipigia anavyotaka
Sent using Jamii Forums mobile app
so mbumbumbu wakiteseka we shabiki la kwasukwasu fc inakuuma nini....nyie pambaneni na litimu lenu bovu njaa fc ambalo sahivi kila mtu anajipigia anavyotakaHata mbumbumbu wanateseka sana kwa anayoyafanya Mohamed! Ila ndio hivyo tena umasikini umewafunga mdomo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuelewa ndiyo maana unaitwa mbumbumbu,mashabi wenzio wenye akili timamu wanashtuka kuona anakuwa kama Pro LipumbaAlikuwa na point gani? Mchukueni Ndala basi huyo Kilomoni ili awatoe kwenye Njaa kwa Mabilioni yake ambayo atawamwagia.
ππππHuwezi kuelewa ndiyo maana unaitwa mbumbumbu,mashabi wenzio wenye akili timamu wanashtuka kuona anakuwa kama Pro Lipumba
Mshabiki kama mimi;Hata mbumbumbu wanateseka sana kwa anayoyafanya Mohamed! Ila ndio hivyo tena umasikini umewafunga mdomo!
Sent using Jamii Forums mobile app
πππWewe umtimue una hisa ngapi hapo unyamani?
Mungu mbariki UchebeOna hicho kimbwa alichopostView attachment 1381319View attachment 1381320
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzungu uchebe anahuruma sana. Nasikia bashite leo hakuwepo uwanjan bali kaendaa mliman city kwenye sherehe ya BAWACHAMungu mbariki Uchebe
Katimuliwa utadhani mwizi wa simu !Mzungu uchebe anahuruma sana. Nasikia bashite leo hakuwepo uwanjan bali kaendaa mliman city kwenye sherehe ya BAWACHA
Sent using Jamii Forums mobile app