Alikuaid anajenga ndani ya kipindi gani?Jenga uwanja na hostel kama ulivyoahidi tajiri janja janja wewe.
ndio hata kama ni ya msimu lakini tuna manarakwa kuuza magodoro tu
magodoro ni kununua mara mbili maisha yako yote
Morocco mliambulia kuliwa kiboga tuTunamuamini Manara, mkienda USA si tunaenda Paris
Hapo anacheza na Saikolojia ya hawa watoto wa Juzi wasiojua hizi clubs zimetoka wapiKitu ambacho MO anatakiwa kujua, Simba imeshawahi kuweka kambi Romania kwa mwezi mmoja uku Yanga ikiweka kambi Brazil. Ayo anayotaka kufanya apa Bongo yalishafanywa miaka ya 70 na hivi vilabu.
Punguzeni mihemko,si mumemsajili zeruzeru mkalia tako moja na amewaahidi makombe yote hapa nchini kwa miaka sita mfululizo,basi tulieni mngoje kushangilia tu. Ila ligi ikianza mkimanuliwa msipige mayowe mara TFF mara marefa hatutaki hizo.Hapo anacheza na Saikolojia ya hawa watoto wa Juzi wasiojua hizi clubs zimetoka wapi
Mwamedi mjanja mjanja Sana kasikia manara anamlipua kaamua aje kihivyo kututuliza sisiJenga uwanja na hostel kama ulivyoahidi tajiri janja janja wewe.
usijali Zeruzeru atalizungumzia hilo pia una maswali mengine kuhusu simba mlemavu w angozi akusaidie kuuliza?Jenga uwanja na hostel kama ulivyoahidi tajiri janja janja wewe.
muambie zeruzeru mzee wa bandari yulee wa mambo yaleeea lliyekuwa anamnanihii anamsalimia sanaMwamedi mjanja mjanja Sana kasikia manara anamlipua kaamua aje kihivyo kututuliza sisi
Soka la bongo linaendeshwa kwa kiki Kama bongo flavor vile
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Labda Paris ya mkoani tanga pale MomboTunamuamini Manara, mkienda USA si tunaenda Paris