Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Mzee toz kapita had na mwamedi aliveshwa had kangamuambie zeruzeru mzee wa bandari yulee wa mambo yaleeea lliyekuwa anamnanihii anamsalimia sana
Watakaa kmya. Boss hajibu taarabu ila ana wanyoosha na mipango tu. Acha wao na genge lao la wahuni waendelee kutuchekeshaTajiri kijana mwenye hisa zake pale kwa timu bora Afrika Mashariki na namba mbili Afrika Mashariki na Kati
Na wa kumi na nne Afrika nzima na wa sabini na moja dunia nzima mbele ya Arsenal
Ameshaweka wazi kwamba msimu ujao kwa mabeberu pre-season
Sasa wale walioshindwa hata pre season kwa wapemba waige na hii
Halafu zinapotumika pesa hamuulizi ila zikiingia mnajifanya mna machungu kama ameibiwa babaako
Nyie machinga uzeni Jersey sisi tutauza soka kwa mkapa
Wao wana watu sisi tuna hela
View attachment 1909187
Unajua faida za uhusiano km huu. Kuuziana wachezaji itakua kawaida saana na kama timu inapanga kuanzisha academy pana lazima tuwe na mahusiano na timu kubwa kote dunianiKitu ambacho MO anatakiwa kujua, Simba imeshawahi kuweka kambi Romania kwa mwezi mmoja uku Yanga ikiweka kambi Brazil. Ayo anayotaka kufanya apa Bongo yalishafanywa miaka ya 70 na hivi vilabu.
Kwa hiyo kwa sasa haina haja ya kwenda tena au wakienda wasitangaze!?.Kitu ambacho MO anatakiwa kujua, Simba imeshawahi kuweka kambi Romania kwa mwezi mmoja uku Yanga ikiweka kambi Brazil. Ayo anayotaka kufanya apa Bongo yalishafanywa miaka ya 70 na hivi vilabu.
We jamaa hii comment nimecheka sana, kwamba magodoro ni kununua mara ngapi?[emoji23][emoji23][emoji23]kwa kuuza magodoro tu
magodoro ni kununua mara mbili maisha yako yote
Hahaha, Marekani? Labda kama wanaenda kufanya mazoezi ya Basketball au Baseball sio footballTajiri kijana mwenye hisa zake pale kwa timu bora Afrika Mashariki na namba mbili Afrika Mashariki na Kati
Na wa kumi na nne Afrika nzima na wa sabini na moja dunia nzima mbele ya Arsenal
Ameshaweka wazi kwamba msimu ujao kwa mabeberu pre-season
Sasa wale walioshindwa hata pre season kwa wapemba waige na hii
Halafu zinapotumika pesa hamuulizi ila zikiingia mnajifanya mna machungu kama ameibiwa babaako
Nyie machinga uzeni Jersey sisi tutauza soka kwa mkapa
Wao wana watu sisi tuna hela
View attachment 1909187
nishanunua mara ya kwanza bado mara ya pili sijui mwaka ganiWe jamaa hii comment nimecheka sana, kwamba magodoro ni kununua mara ngapi?[emoji23][emoji23][emoji23]
Mashabiki msiotumia logic kama wewe ndo mlisababisha Rage akatutukanausijali Zeruzeru atalizungumzia hilo pia una maswali mengine kuhusu simba mlemavu w angozi akusaidie kuuliza?
Aliahidi by 2019 atakua ameshajenga hostel na viwanja.Alikuaid anajenga ndani ya kipindi gani?
Huyo Msimamizi tu wa mali za familia hana loloteTajiri kijana mwenye hisa zake pale kwa timu bora Afrika Mashariki na namba mbili Afrika Mashariki na Kati
Na wa kumi na nne Afrika nzima na wa sabini na moja dunia nzima mbele ya Arsenal
Ameshaweka wazi kwamba msimu ujao kwa mabeberu pre-season
Sasa wale walioshindwa hata pre season kwa wapemba waige na hii
Halafu zinapotumika pesa hamuulizi ila zikiingia mnajifanya mna machungu kama ameibiwa babaako
Nyie machinga uzeni Jersey sisi tutauza soka kwa mkapa
Wao wana watu sisi tuna hela
View attachment 1909187
Tunataka Taarifa ya mapato na matumizi ya club ya Simba toka uanze ufadhili na uwekezaji wako.Acha janja janja,Hindi wewe,Kanjubari TapeliTajiri kijana mwenye hisa zake pale kwa timu bora Afrika Mashariki na namba mbili Afrika Mashariki na Kati
Na wa kumi na nne Afrika nzima na wa sabini na moja dunia nzima mbele ya Arsenal
Ameshaweka wazi kwamba msimu ujao kwa mabeberu pre-season
Sasa wale walioshindwa hata pre season kwa wapemba waige na hii
Halafu zinapotumika pesa hamuulizi ila zikiingia mnajifanya mna machungu kama ameibiwa babaako
Nyie machinga uzeni Jersey sisi tutauza soka kwa mkapa
Wao wana watu sisi tuna hela
View attachment 1909187
Shida ni hapaTajiri Mo ndo keshasema sasa,atapeleka timu nchi yenye kila aina ya utulivu wa nafsi.
Je hili we unalizungumziaje eti ndugu KOLO UNITEDLabda Paris ya mkoani tanga pale Mombo
Unajua maana ya check au una bwabwaja tu hapa. Timu lako.limekacha pre season huongelei.upo unashadadia vitu usivyo viweza niggaJe hili we unalizungumziaje eti ndugu KOLO UNITEDView attachment 1910117
Ukitumia lugha namna hii mkuu mnaharibu ladha ya upinzani wa mpira unakuwa kama chukisubiri mlemavu wa ngozi aseme
Nitakuwepo USA kuwapa taarifa zaidi kwenye kituo changu cha runinga.Tajiri kijana mwenye hisa zake pale kwa timu bora Afrika Mashariki na namba mbili Afrika Mashariki na Kati
Na wa kumi na nne Afrika nzima na wa sabini na moja dunia nzima mbele ya Arsenal
Ameshaweka wazi kwamba msimu ujao kwa mabeberu pre-season
Sasa wale walioshindwa hata pre season kwa wapemba waige na hii
Halafu zinapotumika pesa hamuulizi ila zikiingia mnajifanya mna machungu kama ameibiwa babaako
Nyie machinga uzeni Jersey sisi tutauza soka kwa mkapa
Wao wana watu sisi tuna hela
View attachment 1909187