Mo Dewji: Simba itafanyia mazoezi Marekani 2022

Watakaa kmya. Boss hajibu taarabu ila ana wanyoosha na mipango tu. Acha wao na genge lao la wahuni waendelee kutuchekesha
 
Kitu ambacho MO anatakiwa kujua, Simba imeshawahi kuweka kambi Romania kwa mwezi mmoja uku Yanga ikiweka kambi Brazil. Ayo anayotaka kufanya apa Bongo yalishafanywa miaka ya 70 na hivi vilabu.
Unajua faida za uhusiano km huu. Kuuziana wachezaji itakua kawaida saana na kama timu inapanga kuanzisha academy pana lazima tuwe na mahusiano na timu kubwa kote duniani
 
Kitu ambacho MO anatakiwa kujua, Simba imeshawahi kuweka kambi Romania kwa mwezi mmoja uku Yanga ikiweka kambi Brazil. Ayo anayotaka kufanya apa Bongo yalishafanywa miaka ya 70 na hivi vilabu.
Kwa hiyo kwa sasa haina haja ya kwenda tena au wakienda wasitangaze!?.
 
kwa kuuza magodoro tu
magodoro ni kununua mara mbili maisha yako yote
We jamaa hii comment nimecheka sana, kwamba magodoro ni kununua mara ngapi?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaha, Marekani? Labda kama wanaenda kufanya mazoezi ya Basketball au Baseball sio football
 
We jamaa hii comment nimecheka sana, kwamba magodoro ni kununua mara ngapi?[emoji23][emoji23][emoji23]
nishanunua mara ya kwanza bado mara ya pili sijui mwaka gani
kuna godoro nililalia la baba hilo tangu mdogo mpaka naondoka nyumban bado limesimama wima
 
usijali Zeruzeru atalizungumzia hilo pia una maswali mengine kuhusu simba mlemavu w angozi akusaidie kuuliza?
Mashabiki msiotumia logic kama wewe ndo mlisababisha Rage akatutukana

Kipindi MO anaahidi hostel na viwanja alijua mashabiki wengi wa Simba wapo kama wewe.
 
Hata sisi Yanga tutaenda Sevilla 😁😁
 
Huyo Msimamizi tu wa mali za familia hana lolote
 
Tunataka Taarifa ya mapato na matumizi ya club ya Simba toka uanze ufadhili na uwekezaji wako.Acha janja janja,Hindi wewe,Kanjubari Tapeli
 
Tunataka Taarifa ya mapato na matumizi ya club ya Simba toka uanze ufadhili na uwekezaji wako.Acha janja janja,Hindi wewe,Kanjubari Tapeli
umetapeliwa shilingi ngapi wewe zeruzeru ?
 
Nitakuwepo USA kuwapa taarifa zaidi kwenye kituo changu cha runinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…