Mo Dewji timiza ahadi ya USA tukipata bahati ya draw CAF

Mo Dewji timiza ahadi ya USA tukipata bahati ya draw CAF

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Uliahidi mwenyewe August 2021 kwamba kambi mwaka huu ni washington Dc USA huku Dc utd wakiwa team mwenyeji na tutashiriki mashindano maalumu yanayoshirikisha teams za MLS na za South America.

Please timiza ahadi yako siyo baadaye kuja kusikia sijui team iko south au spain na kupata mechi za kuokoteza, hiyo pre season ya America kucheza na teams za major league soccer na za South America kama tournament itakuwa poa sana

Hapo tuombe Mungu huko Tunisia Sahel waharibikiwe rasmi weekend hii tupate bahati ya kuanzia round ya kwanza CAF ina maanaa mechi kucheza ni september hukooooo muda wa kujiandaa utakuwa wa kutosha sana.

ahadi.JPG
 
Utakuwa umetisha sana, hii tournament ni muhimu sana siyo tu kujiwekea kambi abroad na kucheza mechi za kipuuzi
Kwasasa kuna maswala wanayashughilikia ikiwemo swala la wachezaji wa kigeni na kukamilisha ITC zao kabla ya tar 30 Juni (CAF watahitaji majina ya wachezaji wa timu zinazoshiriki tarehe hiyo).

Baada ya hapo mwanzoni mwa Julai watatujuza swala la kambi ni huko USA au vinginevyo.

Natumai nimekupa muongozo....
 
Kwasasa kuna maswala wanayashughilikia ikiwemo swala la wachezaji wa kigeni na kukamilisha ITC zao kabla ya tar 30 Juni (CAF watahitaji majina ya wachezaji wa timu zinazoshiriki tarehe hiyo)...
KAMA UKISOMA BETWEEN THE LINES KWENYE post yangu utaelewa vyema...wasiwasi wangu ni kwamba hiyo hoja itatumika kisingizio cha kupeleka kambi nchi yoyote ya ulaya, concern yangu siyo kwenda ulay aau south africa issue ni ni kwamba hiyo ahadi yake ni tamu sana kupata pre season ya kucheza kama tournament na teams za Mls na south america itakuwa muhimu sana na kama CAF waki confirm tunaanza round ya kwanz aina mana kucheza ni september 9 kutakuwa na muda mrefu wa kukaa USA
 
Alipost akiwa na furaha, ahadi ingetimia Kama furaha ingeendelezwa kwakutwaa ubingwa ila imeharibika. Jambo Hilo halitekelezeki
 
KAMA UKISOMA BETWEEN THE LINES KWENYE post yangu utaelewa vyema...wasiwasi wangu ni kwamba hiyo hoja itatumika kisingizio cha kupeleka kambi nchi yoyote ya ulaya, concern yangu siyo kwenda ulay aau south africa issue ni ni kwamba hiyo ahadi yake ni tamu sana kupata pre season ya kucheza kama tournament na teams za Mls na south america itakuwa muhimu sana na kama CAF waki confirm tunaanza round ya kwanz aina mana kucheza ni september 9 kutakuwa na muda mrefu wa kukaa USA
Ni kweli kiongozi kuhusu kucheza first round iyo ni given. Ngoja mwezi huu uishe tutajulishwa chimbo la pre season.
 
Kanjibai anaipeleka team pale bunju kuweka kambi.

Hizi habari nimepenyezewa na mighty Genta
 
Kanjibai anaipeleka team pale bunju kuweka kambi.

Hizi habari nimepenyezewa na mighty Genta
HATA MIMI nimesikia anawahamishia kabisa kipunguni guest house kafilisika hana hela ajifunze kwa matajiri wa ukweli wasio na kashfa wala makandomakando wa yanga siyo tajiri una kashafa za kukwepa kodi/mauaji/dhuluma za viwanja
 
HATA MIMI nimesikia anawahamishia kabisa kipunguni guest house kafilisika hana hela ajifunze kwa matajiri wa ukweli wasio na kashfa wala makandomakando wa yanga siyo tajiri una kashafa za kukwepa kodi/mauaji/dhuluma za viwanja
Ban imekunyoosha umenyooka kama rula dogo ..

Sijasoma ulichoandika hata hivyo
 
MOHAMED anasumbuliwa na ugonjwa wa. Manarism nasikia akikaa anaweweseka mshikeni uyo mshikeni wakisema nani anasemaa manara haji haji anakuja
 
MOHAMED anasumbuliwa na ugonjwa wa. Manarism nasikia akikaa anaweweseka mshikeni uyo mshikeni wakisema nani anasemaa manara haji haji anakuja
kumbe na wewe umeisikia hiyo? nakuambia asipomuomba msamaha manara mwaka huu atakoma
 
najaribu kufikiria Makolo FC eti kucheza pre season ulaya na Marekani kisha ligi halisi kuja kucheza huku Afrika kwenye vumbi na mashimo viwanjani huku eti unacheza na Al Ahly inakupasua, Orlando Pirates inakupasua , Galaxy inakupiga, Kaizer Chief inakupasua, mpira Gwaride Mbeya City na Kagera Sugar zinakupasua, Dar Young Africans inakupasua Kirumba,

Hivi wapi hasa ambako Mikia FC aka Makolo FC wanastahili kupata na kucheza mechi za kujiandaa na msimu ujao? mi naona ni West Africa, North Africa na South Afrika pia waende Mbeya , Manungu na Kagera kupiga mechi za kirafiki basi na huko ulaya labda kuwapeleka wachezaji kula bata tu!

Shida yetu watu weusi ni uvivu wa kufikiri hasa "hivi nakosea wapi?"

mtani umemtimua Manara utajua hujui!
 
kama sikosei msemaji wa simba alitolea ufafanuzi hilo swala la USA kuwa ilitakiwa waende toka june 15 kwan ilikuwa waende kwa mualiko wa DC united ambapo kuna kijimashindano wangeshiriki ila sababu ligi inaisha june 30 imeshindikana.

nahs wiki mbili nyuma ndo Ahmed Ally alisema
 
Back
Top Bottom