njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Utakuwa umetisha sana, hii tournament ni muhimu sana siyo tu kujiwekea kambi abroad na kucheza mechi za kipuuziNgoja nikamuite MO aje akujibu.
Kwasasa kuna maswala wanayashughilikia ikiwemo swala la wachezaji wa kigeni na kukamilisha ITC zao kabla ya tar 30 Juni (CAF watahitaji majina ya wachezaji wa timu zinazoshiriki tarehe hiyo).Utakuwa umetisha sana, hii tournament ni muhimu sana siyo tu kujiwekea kambi abroad na kucheza mechi za kipuuzi
KAMA UKISOMA BETWEEN THE LINES KWENYE post yangu utaelewa vyema...wasiwasi wangu ni kwamba hiyo hoja itatumika kisingizio cha kupeleka kambi nchi yoyote ya ulaya, concern yangu siyo kwenda ulay aau south africa issue ni ni kwamba hiyo ahadi yake ni tamu sana kupata pre season ya kucheza kama tournament na teams za Mls na south america itakuwa muhimu sana na kama CAF waki confirm tunaanza round ya kwanz aina mana kucheza ni september 9 kutakuwa na muda mrefu wa kukaa USAKwasasa kuna maswala wanayashughilikia ikiwemo swala la wachezaji wa kigeni na kukamilisha ITC zao kabla ya tar 30 Juni (CAF watahitaji majina ya wachezaji wa timu zinazoshiriki tarehe hiyo)...
Ni kweli kiongozi kuhusu kucheza first round iyo ni given. Ngoja mwezi huu uishe tutajulishwa chimbo la pre season.KAMA UKISOMA BETWEEN THE LINES KWENYE post yangu utaelewa vyema...wasiwasi wangu ni kwamba hiyo hoja itatumika kisingizio cha kupeleka kambi nchi yoyote ya ulaya, concern yangu siyo kwenda ulay aau south africa issue ni ni kwamba hiyo ahadi yake ni tamu sana kupata pre season ya kucheza kama tournament na teams za Mls na south america itakuwa muhimu sana na kama CAF waki confirm tunaanza round ya kwanz aina mana kucheza ni september 9 kutakuwa na muda mrefu wa kukaa USA
HATA MIMI nimesikia anawahamishia kabisa kipunguni guest house kafilisika hana hela ajifunze kwa matajiri wa ukweli wasio na kashfa wala makandomakando wa yanga siyo tajiri una kashafa za kukwepa kodi/mauaji/dhuluma za viwanjaKanjibai anaipeleka team pale bunju kuweka kambi.
Hizi habari nimepenyezewa na mighty Genta
n kisingizo tu kafilisika hana hela si unaona anachangisha bukubuku, kwisha kazi yakeAlipost akiwa na furaha, ahadi ingetimia Kama furaha ingeendelezwa kwakutwaa ubingwa ila imeharibika. Jambo Hilo halitekelezeki
Ban imekunyoosha umenyooka kama rula dogo ..HATA MIMI nimesikia anawahamishia kabisa kipunguni guest house kafilisika hana hela ajifunze kwa matajiri wa ukweli wasio na kashfa wala makandomakando wa yanga siyo tajiri una kashafa za kukwepa kodi/mauaji/dhuluma za viwanja
kumbe na wewe umeisikia hiyo? nakuambia asipomuomba msamaha manara mwaka huu atakomaMOHAMED anasumbuliwa na ugonjwa wa. Manarism nasikia akikaa anaweweseka mshikeni uyo mshikeni wakisema nani anasemaa manara haji haji anakuja
ila ume quote...unaogopa hata kusoma maandishi ya genius?Ban imekunyoosha umenyooka kama rula dogo ..
Sijasoma ulichoandika hata hivyo
Wewe ndio daktari wake au mkewe?MOHAMED anasumbuliwa na ugonjwa wa. Manarism nasikia akikaa anaweweseka mshikeni uyo mshikeni wakisema nani anasemaa manara haji haji anakuja
Wewe uliona na kusikia wapi tajiri ananengua na kukata uno tiktok?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]MOHAMED anasumbuliwa na ugonjwa wa. Manarism nasikia akikaa anaweweseka mshikeni uyo mshikeni wakisema nani anasemaa manara haji haji anakuja