Mo kununua timu FDL

Mo kununua timu FDL

Dav jm

Member
Joined
Mar 30, 2018
Posts
58
Reaction score
45
MWEKEZAJI wa Simba,
Mohamed Dewji amesema
watapeleka maombi yao
Shirikisho la Soka nchini ili
kununua timu ya daraja la
kwanza. Timu hiyo itakuwa na wachezaji
wanaotoka timu yao ya vijana ya
Simba na endapo watakubaliwa
watakuwa na timu itakayoitwa
Simba lakini ikishiriki Ligi Daraja la
Kwanza. Mo Dewji amesema endapo timu
hiyo itafanikiwa kupanda daraja
hawataipandisha Ligi Kuu kwank
sheria haitawaruhusu kuwa na
timu mbili ligi kuu zenye jina moja.
"Lengo ni kutoa burudani zaifi kwa mashabiki wetu na kuweka
ushindani mkubwa katika soka,
tukikubaliwa tutanunua timu na
itaitwa Simba ila itashiriki ligi
daraja la kwanza.
"Hatutairuhusu kushiriki ligi kuu hata kama itapanda kwani sheria
hazitaruhusu, tutatoa burudani
huku huku chini," amesema Mo
Dewji.
 
Daaaaaaah ka Barcelona vile. Mana Barcelona wana timu B, ambayo ilikua kua inashiriki senguda A mwaka Jana ndo ilishuka daraja saizi ipo senguda B. Na kuna msimu ilipanda daraja wakauza right za timu.

"Ikiwezekana tuwanunue wale mashujaa wasianze kutusumbua Kwenye FA ( joking) "
"IGA ufe, This is the next level "
 
Mbona n kawaidah sana kwenye team nyingi barani uraya
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] SASA WATU NDIO WAELEWE KUWA MO anatamani sana AIMILIKI SIMBA.. ANATAKA KUTUMIA JINA LA SIMBA SPORTS CLUB ili kupiga mishe zake kibiashara..
Sawa tu...
 
Kuwa na timu ambayo haiwezi kupanda daraja ni kukalibisha corruption yaani they have nothing to play for.., nini kinawakataza kuchukua mlungula kwa baadhi ya timu na kuwaachia na nyingine kukaza buti.., thus kuchangia nani apande na nani asipande..,
 
Kuwa na timu ambayo haiwezi kupanda daraja ni kukalibisha corruption yaani they have nothing to play for.., nini kinawakataza kuchukua mlungula kwa baadhi ya timu na kuwaachia na nyingine kukaza buti.., thus kuchangia nani apande na nani asipande..,
Ko unataka kusema TFF watakataa kwa sababu hawawezi kuzuia rushwa Kwenye michezo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] SASA WATU NDIO WAELEWE KUWA MO anatamani sana AIMILIKI SIMBA.. ANATAKA KUTUMIA JINA LA SIMBA SPORTS CLUB ili kupiga mishe zake kibiashara..
mishe gani labda kwa mfano?
 
MWEKEZAJI wa Simba,
Mohamed Dewji amesema
watapeleka maombi yao
Shirikisho la Soka nchini ili
kununua timu ya daraja la
kwanza. Timu hiyo itakuwa na wachezaji
wanaotoka timu yao ya vijana ya
Simba na endapo watakubaliwa
watakuwa na timu itakayoitwa
Simba lakini ikishiriki Ligi Daraja la
Kwanza. Mo Dewji amesema endapo timu
hiyo itafanikiwa kupanda daraja
hawataipandisha Ligi Kuu kwank
sheria haitawaruhusu kuwa na
timu mbili ligi kuu zenye jina moja.
"Lengo ni kutoa burudani zaifi kwa mashabiki wetu na kuweka
ushindani mkubwa katika soka,
tukikubaliwa tutanunua timu na
itaitwa Simba ila itashiriki ligi
daraja la kwanza.
"Hatutairuhusu kushiriki ligi kuu hata kama itapanda kwani sheria
hazitaruhusu, tutatoa burudani
huku huku chini," amesema Mo
Dewji.
Hela inamsumbua Kanjibai. Sasa Gala ya kutembeza bakuli ya nini? Kisa mlinzi kutaka kuitwa watchman badala ya korokoloni
 
Hii ni nzuri kwa afya ya soka maana italeta conflict of interest,
Kombe kama la FA hapa hushirikisha timu za ngazi zote,
Itakuaje kama Simba atakutana na hiyo timu? Kama anataka timu basi aachane na Simba kwanza then amiliki hiyo timu
Vitu vingine viko wazi havihitaji uwe na uelewa wa soka
 
Hii ni nzuri kwa afya ya soka maana italeta conflict of interest,
Kombe kama la FA hapa hushirikisha timu za ngazi zote,
Itakuaje kama Simba atakutana na hiyo timu? Kama anataka timu basi aachane na Simba kwanza then amiliki hiyo timu
Vitu vingine viko wazi havihitaji uwe na uelewa wa soka
Anataka kututengenezea sharia za kuendesha moira hapa Tz eti eeh
 
Mi nashauri akishainunua aiite dog sports club ili na yenyewe ipande madaraja
 
Mo watu waliomzunguka vilaza..hiyo hela ya kununua timu angejenga academy ...akusanye Vijana robo tatu wabongo na robo kutoka Africa nzima..baada ya miaka miwili itaanza kumlipa...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] SASA WATU NDIO WAELEWE KUWA MO anatamani sana AIMILIKI SIMBA.. ANATAKA KUTUMIA JINA LA SIMBA SPORTS CLUB ili kupiga mishe zake kibiashara..
Watamuelewa tu mzee Kilomoni watulize mishono.
 
Mo watu waliomzunguka vilaza..hiyo hela ya kununua timu angejenga academy ...akusanye Vijana robo tatu wabongo na robo kutoka Africa nzima..baada ya miaka miwili itaanza kumlipa...
Wewe ndio hujaelew kitu
 
Back
Top Bottom