Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,292
- 7,867
Mimi ni shabiki wa yanga a.k.a ombaomba, vyura fc na majina mengine mengi mnyotuita ila ndo nipo huko. Niliiona press yako Bw Mohammed na nimeona posts zako Manara kule insta. Wote mnomba mashabiki wafike kwa wingi uwanjani ili kuisapoti timu imuue mwarabu. Ni rahisi kwa viongozi kufanya hivyo lakini kiuhalisia timu yenu ni mbovu sana.
Mechi ya mwisho mmecheza na mwadui na kushinda 3-0, lakini kwa forward ya Boko ile hapana kwakwel. Yaani timu labda kiungo ila beki mbovu, forward mbovu, mfumo mbovu, yaani kocha mfumo wake ni mmoja tu bila kujali yupo ugenini au nyumbani, amefungwa au amefunga, timu kubwa au ndogo.
Mashabiki wa All ahly walikuwa 10,000 tu lakini shangwe lao ndio lile la simba day pale taifa. Mashabiki wa kibongo wanashangilia pass, chenga na magoli. Mkifungwa tu ndo watu kuzimia, kujikunyata na wengine kuondoka uwanjani tofauti na wenzetu.
Ukweli mchungu ni kuwa kwa Simba hii hata uweke kiingilio 500 kuna watu hawatakuja kisa waliitwa watumia Tecno za 70,000 jambo ambalo ni la kipuuzi kabisa.
Niwatakie maandalizi mema na walau mtoe sare tu sio mbaya. Sisi tunaendelea kubahatisha huku ligi kuu maana kwa mwendo tunaoenda nao mh! hatuwezi kuchekana.
Barafu la moto
Mechi ya mwisho mmecheza na mwadui na kushinda 3-0, lakini kwa forward ya Boko ile hapana kwakwel. Yaani timu labda kiungo ila beki mbovu, forward mbovu, mfumo mbovu, yaani kocha mfumo wake ni mmoja tu bila kujali yupo ugenini au nyumbani, amefungwa au amefunga, timu kubwa au ndogo.
Mashabiki wa All ahly walikuwa 10,000 tu lakini shangwe lao ndio lile la simba day pale taifa. Mashabiki wa kibongo wanashangilia pass, chenga na magoli. Mkifungwa tu ndo watu kuzimia, kujikunyata na wengine kuondoka uwanjani tofauti na wenzetu.
Ukweli mchungu ni kuwa kwa Simba hii hata uweke kiingilio 500 kuna watu hawatakuja kisa waliitwa watumia Tecno za 70,000 jambo ambalo ni la kipuuzi kabisa.
Niwatakie maandalizi mema na walau mtoe sare tu sio mbaya. Sisi tunaendelea kubahatisha huku ligi kuu maana kwa mwendo tunaoenda nao mh! hatuwezi kuchekana.
Barafu la moto