Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Kapicha mkuuJamani uchawi upo. Kupitia clouds fm kipindi cha kubwa kuliko msanii Mo Music na meneja wake wamethibitisha kuwa wamepigwa mabusha na promota waliyemdhurumu. Promota makunganya aliwalipa milioni moja na nusu ili wakapafomu huko Shinyanga siku ya show wakaingia mitini. Baada ya kuwatafuta kwenye simu bila mafanikio promota aliamua kwenda kufanya yake. Hivi sasa wanahaha huko kijijini kumtafuta ndugu promota ambaye anasema bila milioni sita wataendelea kupata joto ya jiwe.
Mytake 1
Mo music ni msanii cheap yaani anaperform kwa milioni moja?
Mytake 2
Jamani tuwe waaminifu uchawi upo.
aweke picha tuone HASHITAGI WASANII WANAIBIWA NA KUNYONYWA MZIKI NA JASHO LAO, HASHITAGI WASAFI FESITIVOMabusha? Mmeyaona? Au kick?
hizo my take sasa daahJamani uchawi upo. Kupitia clouds fm kipindi cha kubwa kuliko msanii Mo Music na meneja wake wamethibitisha kuwa wamepigwa mabusha na promota waliyemdhurumu. Promota makunganya aliwalipa milioni moja na nusu ili wakapafomu huko Shinyanga siku ya show wakaingia mitini. Baada ya kuwatafuta kwenye simu bila mafanikio promota aliamua kwenda kufanya yake. Hivi sasa wanahaha huko kijijini kumtafuta ndugu promota ambaye anasema bila milioni sita wataendelea kupata joto ya jiwe.
Mytake 1
Mo music ni msanii cheap yaani anaperform kwa milioni moja?
Mytake 2
Jamani tuwe waaminifu uchawi upo.
Asijali mshipa sio ugonjwa,,mshipa una raha yake kuwa nao,,kwanza ukipita mbele za watu lazima watulie kiiimyaaa kama sekunde kadhaa hiv....mshipa cheo bwana!Jamani uchawi upo. Kupitia clouds fm kipindi cha kubwa kuliko msanii Mo Music na meneja wake wamethibitisha kuwa wamepigwa mabusha na promota waliyemdhurumu. Promota makunganya aliwalipa milioni moja na nusu ili wakapafomu huko Shinyanga siku ya show wakaingia mitini. Baada ya kuwatafuta kwenye simu bila mafanikio promota aliamua kwenda kufanya yake. Hivi sasa wanahaha huko kijijini kumtafuta ndugu promota ambaye anasema bila milioni sita wataendelea kupata joto ya jiwe.
Mytake 1
Mo music ni msanii cheap yaani anaperform kwa milioni moja?
Mytake 2
Jamani tuwe waaminifu uchawi upo.
Eeh wazee Wa SAUT Malimbe.dah! maskini chuo mate wangu...
Ngoja nikupige busha moja la maana ndio utaheshimu wazee!Hakuna kitu kinaitwa uchawi.
Mawazo ya kitaahira.
Hakuna kitu kama hicho.Ngoja nikupige busha moja la maana ndio utaheshimu wazee!