Mo: Wana Simba tulieni mambo mazuri yanakuja

ya Ngoswe... na Mazoea...
 
Baadaye asianze tena kulia lia kupata hasara kwa kusajili magarasa.
 
Pesa ya Kambi nje ya nchi hakuna,

Kwaiyo ni Kimbiji tena..!
Kimbiji kama kawaida! Mechi za Pre season wanacheza na Mbuni Fc! Halafu mwisho wa msimu, makombe yote ya Ligi, anachukua.

Yule wa kwenda Uturuki, Dubai, Misri, nk. Hata lile Kombe tu la Bonanza, la Mapinduzi Cup anakosa!! Maajabu haya!!!
 
Kimbiji kama kawaida! Mechi za Pre season wanacheza na Mbuni Fc! Halafu mwisho wa msimu, makombe yote ya Ligi, anachukua.

Yule wa kwenda Uturuki, Dubai, Misri, nk. Hata lile Kombe tu la Bonanza, la Mapinduzi Cup anakosa!! Maajabu haya!!!
Na anatolewa hatua za awali CAFCL
 
Yaani unawaokotea mchezaji kutoka Rwanda kwa Bei ya lonyalonya ndio unawaambia watulie😀😀🤣, Sasa huyo onana anamzidi nini Phili au Father Bocco?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…