Model maarufu nchini apiga picha za X

Mh kwani huyu model nani jamani hebu nijulisheni wajuzi? Na hapa sio kwamba wanatengeneza movie kweli????? Labda hizo picha nyingine zikija tutajua kilichokuwa kinaendelea lakini kwa hizi picha mmhhhhhhhhhhh sijashawishika kuamini kwa kweli:A S 112:
 
we eliToro umekaa kikuda kuda sana,mwanaume hawi mmbea namna hio....muone kwanza unasubiria tu mwenzio avurunde utengeneze habari!??? huna haya wewe?:A S 13::A S 112:
 
Mhh bas hata mie model mbona wamechooka na ngozi kama yangu mhh
 
we eliToro umekaa kikuda kuda sana,mwanaume hawi mmbea namna hio....muone kwanza unasubiria tu mwenzio avurunde utengeneze habari!??? huna haya wewe?:A S 13::A S 112:

El Toro..wewe tupe burudaani asiyetaka akasome jukwaa la siasa
 
umeisha weka kwenye jukwaa la wakubwa ????????
 
we eliToro umekaa kikuda kuda sana,mwanaume hawi mmbea namna hio....muone kwanza unasubiria tu mwenzio avurunde utengeneze habari!??? huna haya wewe?:A S 13::A S 112:

What do you expect. Si ndiyo lile lisenge na limbeya la kiume lililokuwa linajuilkiana kama "Mfunyukuzi". Ona avatar yake yenye picha ya shoga fulani la Kibongo linalojifanya eti "model". Kudadeki!!
 
we elitoro umekaa kikuda kuda sana,mwanaume hawi mmbea namna hio....muone kwanza unasubiria tu mwenzio avurunde utengeneze habari!??? Huna haya wewe?:a s 13::a s 112:

pole pole jamani mwana wa mwenzio huyo....

 
what do you expect. Si ndiyo lile lisenge na limbeya la kiume lililokuwa linajuilkiana kama "mfunyukuzi". Ona avatar yake yenye picha ya shoga fulani la kibongo linalojifanya eti "model". Kudadeki!!

mh! Kweli avatar yake kama la kibwabwa bwabwa hivi...
 
nyie mnaomsema huyo kijana kwenye avatar wazushi na mnaroho za korosho,vitambi vikubwa mara ya mwisho kuona sehemu zenu za siri hata hamkumbuki kwa kufuga mavitambi wakati wenzenu wanafuga kuku,fanyeni mazoezi acheni wivu uso na sababu:spider:
 
Hahahahaha nimecheka sana kweli jamiiforums humu ndani kiboko aise....kwa kweli nikiingia lazima nije nicheke.....So kosa jamaa ina maana tungepigwa changa la macho au sio???daaa inasikitisha sana
 
nyie mnaomsema huyo kijana kwenye avatar wazushi na mnaroho za korosho,vitambi vikubwa mara ya mwisho kuona sehemu zenu za siri hata hamkumbuki kwa kufuga mavitambi wakati wenzenu wanafuga kuku,fanyeni mazoezi acheni wivu uso na sababu:spider:

Mzima wewe???
 
nyie mnaomsema huyo kijana kwenye avatar wazushi na mnaroho za korosho,vitambi vikubwa mara ya mwisho kuona sehemu zenu za siri hata hamkumbuki kwa kufuga mavitambi wakati wenzenu wanafuga kuku,fanyeni mazoezi acheni wivu uso na sababu:spider:

mbona mkali weye,,,, mna ubia nini?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…