Models/ tasnia ya fashion

Models/ tasnia ya fashion

Los santos

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2021
Posts
1,167
Reaction score
2,591
Aisee ila hii tasnia ya umodel huku Tz Ina mushkeli sana

Ni member Gani humu jamii forum anaweza kaa kama huyo mwenye PC toa na sababu
FB_IMG_1706859135186.jpg
 
Kuna dogo kitaa Naye yuko kwenye umodel Naye yuko hivyo hivyo
mimi nilisoma na mshkaji alikuwa na pigo kama hizi za noeli kwanza alikuwa anaimba anajua sana kuimba kipindi cha dini akiimba ile usiku shule nzima mna nyama za kumsikiliza mpaka waislamu walikuwa wanakuja.
sasa cha ajabu siku moja tukamkuta yupo na demu maana nilisoma pembezoni mwa bahari pwani huko, tukamkuta yupo na demu baharin ufukweni wananyonyana mate. ILA kuanzia tembea kuongea kama demu vile
 
mimi nilisoma na mshkaji alikuwa na pigo kama hizi za noeli kwanza alikuwa anaimba anajua sana kuimba kipindi cha dini akiimba ile usiku shule nzima mna nyama za kumsikiliza mpaka waislamu walikuwa wanakuja.
sasa cha ajabu siku moja tukamkuta yupo na demu maana nilisoma pembezoni mwa bahari pwani huko, tukamkuta yupo na demu baharin ufukweni wananyonyana mate. ILA kuanzia tembea kuongea kama demu vile
Daa hatari sana ,Sasa hapo sjui tumuweke kundi lipi
 
Mwingine huyu
Acha upuuzi, tafuta pesa....Kuna uzi humu wa viajira pale tra, magereza nenda kahangaike navyo, huna mamlaka ya kuwahukumu wengine, acha kukaa vijiweni tafuta maisha
 
Acha upuuzi, tafuta pesa....Kuna uzi humu wa viajira pale tra, magereza nenda kahangaike navyo, huna mamlaka ya kuwahukumu wengine, acha kukaa vijiweni tafuta maisha
Nina maisha na mabinti wakubwa kama we kuwa na adabu nakuls pensheni na miradi kibao ......
sawa binti
 
Nina maisha na mabinti wakubwa kama we kuwa na adabu nakuls pensheni na miradi kibao ......
sawa binti
Basi ishi umri wako, why unakua unachokonoa yasiyokuhusu?au ndio show off ya muscular yako, gender violence iliyo embedded na tabia yako?,tako la kwangu wewe linakuhusu nini?,achana na yasiyokuhusu, relax na enjoy your last day's, njoo huku 4th beach hapa near Clifton upate green tea baba
 
mimi nilisoma na mshkaji alikuwa na pigo kama hizi za noeli kwanza alikuwa anaimba anajua sana kuimba kipindi cha dini akiimba ile usiku shule nzima mna nyama za kumsikiliza mpaka waislamu walikuwa wanakuja.
sasa cha ajabu siku moja tukamkuta yupo na demu maana nilisoma pembezoni mwa bahari pwani huko, tukamkuta yupo na demu baharin ufukweni wananyonyana mate. ILA kuanzia tembea kuongea kama demu vile
Sasa cha ajabu nn hapo? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nani katupa mamlaka ya kuwahukumu wengine, tako la kwake wewe linakuhusu nini?,anavyolitumia ni uamuzi wake, tutafute pesa achana na yasio kuhusu
Bora hata usemee wewee, [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Back
Top Bottom