Los santos
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 1,167
- 2,591
Sahihi kbsa nadhani Kuna kitu wanawafanyia huko kuwavutia Kasi ya uchokoMwenyewe anajiita stylist..
N.b ukiona mtoto wako was kiume anapenda mambo ya umodel chukua hatua kali sana
mimi nilisoma na mshkaji alikuwa na pigo kama hizi za noeli kwanza alikuwa anaimba anajua sana kuimba kipindi cha dini akiimba ile usiku shule nzima mna nyama za kumsikiliza mpaka waislamu walikuwa wanakuja.Kuna dogo kitaa Naye yuko kwenye umodel Naye yuko hivyo hivyo
Daa hatari sana ,Sasa hapo sjui tumuweke kundi lipimimi nilisoma na mshkaji alikuwa na pigo kama hizi za noeli kwanza alikuwa anaimba anajua sana kuimba kipindi cha dini akiimba ile usiku shule nzima mna nyama za kumsikiliza mpaka waislamu walikuwa wanakuja.
sasa cha ajabu siku moja tukamkuta yupo na demu maana nilisoma pembezoni mwa bahari pwani huko, tukamkuta yupo na demu baharin ufukweni wananyonyana mate. ILA kuanzia tembea kuongea kama demu vile
Wewe hapo kwasababu wewe ndo umepostAisee ila hii tasnia ya umodel huku Tz Ina mushkeli sana
Ni member Gani humu jamii forum anaweza kaa kama huyo mwenye PC toa na sababu
View attachment 2891589
NakaziaNani katupa mamlaka ya kuwahukumu wengine, tako la kwake wewe linakuhusu nini?,anavyolitumia ni uamuzi wake, tutafute pesa achana na yasio kuhusu
NakaziaWewe hapo kwasababu wewe ndo umepost
Mwingine huyuNani katupa mamlaka ya kuwahukumu wengine, tako la kwake wewe linakuhusu nini?,anavyolitumia ni uamuzi wake, tutafute pesa achana na yasio kuhusu
Acha upuuzi, tafuta pesa....Kuna uzi humu wa viajira pale tra, magereza nenda kahangaike navyo, huna mamlaka ya kuwahukumu wengine, acha kukaa vijiweni tafuta maishaMwingine huyu
Nina maisha na mabinti wakubwa kama we kuwa na adabu nakuls pensheni na miradi kibao ......Acha upuuzi, tafuta pesa....Kuna uzi humu wa viajira pale tra, magereza nenda kahangaike navyo, huna mamlaka ya kuwahukumu wengine, acha kukaa vijiweni tafuta maisha
Basi ishi umri wako, why unakua unachokonoa yasiyokuhusu?au ndio show off ya muscular yako, gender violence iliyo embedded na tabia yako?,tako la kwangu wewe linakuhusu nini?,achana na yasiyokuhusu, relax na enjoy your last day's, njoo huku 4th beach hapa near Clifton upate green tea babaNina maisha na mabinti wakubwa kama we kuwa na adabu nakuls pensheni na miradi kibao ......
sawa binti
Sasa cha ajabu nn hapo? [emoji23][emoji23][emoji23]mimi nilisoma na mshkaji alikuwa na pigo kama hizi za noeli kwanza alikuwa anaimba anajua sana kuimba kipindi cha dini akiimba ile usiku shule nzima mna nyama za kumsikiliza mpaka waislamu walikuwa wanakuja.
sasa cha ajabu siku moja tukamkuta yupo na demu maana nilisoma pembezoni mwa bahari pwani huko, tukamkuta yupo na demu baharin ufukweni wananyonyana mate. ILA kuanzia tembea kuongea kama demu vile
Bora hata usemee wewee, [emoji122][emoji122][emoji122]Nani katupa mamlaka ya kuwahukumu wengine, tako la kwake wewe linakuhusu nini?,anavyolitumia ni uamuzi wake, tutafute pesa achana na yasio kuhusu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiiSitting pretty. Noel ananichallenge hadi mimi mwanamke! Kukaa hivyo sio mchezo, uive haswa.