Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1) Ni AirtelOyaaa
1. Hiyo Wingle ni Mitandao yote????
2. Hiyo ya Vodacom inaoption ya WifI kama iyo ya airtel????
3. Hizo za vodacom kwann zina bei tofauti.
Zala Na Nga
Nakuuliza tena ili tufanye biashara. Io modem ya voda nayo ina wifi??? Kama ndio njoo PM nilipie1) Ni Airtel
2)Ndiyo
3) Zimetumika ya Airtel mpya
Mbona jibu namba mbili ni "NDIYO" au hujaona vizuri?Nakuuliza tena ili tufanye biashara. Io modem ya voda nayo ina wifi??? Kama ndio njoo PM nilipie
Zala Na Nga
Mkuu nilishakujibu mbona kuwa Ni "ndiyo"Ina Wi fi Kama hiyo ya Airtel, nimepunguza Bei kwa vile nilikuwa naitumia, ya Airtel bado mpya sijaitumia kabisa.Mbona jibu namba mbili ni "NDIYO" au hujaona vizuri?
Mkuu nilishakujibu mbona kuwa Ni "ndiyo"Ina Wi fi Kama hiyo ya Airtel, nimepunguza Bei kwa vile nilikuwa naitumia, ya Airtel bado mpya sijaitumia kabisa.
Ni modem mkuu sio modermNauza moderm zifuatazo bei poa.
MODERM ya Airtel no mpya nauza 30,000/+ moderm ya Vodacom yenye namba juu ni 20,000/- na nyenzake pia ya Vodacom ni 15,000/-
Karibuni Sana nipo DSM 0625610791 & 0713373875