hiyo sorting itakuwa na screening level 5Itakuwa na:
1. Lift 14
2. Escalators 9
3. Travelators 2
Itakuwa na automated system yakupokea mizigo nakufanya sorting.
Itakuwa na shopping mall pamoja na 5 star hotel kwa pembeni.
Kutakuwa na Big screens zakutangazia vivutio ndani ya terminal.
Pia nijengo linaloweza kupanulia pindi idadi ikiongezeka.
Pia kutakuwa na state of the art security with high tech CCTV.
Pia finishing yake itakuwa yenye kuvutia sana pindi litapo kamilika
Kulia luksaWarehouse
Kama ya kwetu ni warehouse basi ya kwenu itakuwa ni banda la kuku.Warehouse
Ndio GK ni ccm moja. Hapa kazi tu !Nimemsikia GK humo ndaniπ
Sipendi hivi viti kuliko maelezo.Kama ya kwetu ni warehouse basi ya kwenu itakuwa ni banda la kuku.
View attachment 749536
Hivi kweli mlimruhusu Uhuru awajengee hilibanda la kuku hapo Jomo Kenyatta. Kweli pombe sio chai.Great
Alichofanya Uhuru ni Tano TenaSipendi hivi viti kuliko maelezo.
Wangetafuta aina nyingine ya viti.
Ndege mpya, vichwa vya treni, majengo ya magereza, chuo udsm, magomeni. Majengo ya serikali ya Dodoma. CAG akuainisha hivyo vyote.Tunataka maelezo ya #1.5T Basi!
ukitia wembe turubai chaaa!Kama ya kwetu ni warehouse basi ya kwenu itakuwa ni banda la kuku.
View attachment 749536
kama kambi ya jeshi!Siku Miguna Miguna kazuuliwa airport sikuweza amini kuwa hapa ni Jomo Kenyatta Terminal Airport. Uhuru sio mtu wa mchezo.View attachment 749559 View attachment 749561
Siku Miguna Miguna kazuuliwa airport sikuweza amini kuwa hapa ni Jomo Kenyatta Terminal Airport. Uhuru sio mtu wa mchezo.View attachment 749559 View attachment 749561
Hao maaskari na mabunduki utafikiri uko DRC Goma Airport. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Siku Miguna Miguna kazuuliwa airport sikuweza amini kuwa hapa ni Jomo Kenyatta Terminal Airport. Uhuru sio mtu wa mchezo. View attachment 749561
Turubaiπππ. Bati, tofali na rangi vinabei sana Kenyaukitia wembe turubai chaaa!