umefikiria sana kaka
taratibu poti, wakija wenyewe hapa watakuwa wakalii.
hehehe jana walikuwa wanaandamana kwenye sredi flani kwamba wanazalilishwa, wakiiona na hii nazani tutarajieni hunger straiki. dah!
siku zote ukweli mgumu kumeza l.o.l
acha tuwasiliane na preta awakonvinsi wafanye hiyo, mimi nitakuwa mgeni rasmi. maandamano yataanzia jukwaa la mmu na yataishia jukwaa la private la wakubwa.unajua mi nataka straik gani? open bresti straik waliifanya wale wa nairobi ilikuwa raha mtaani
ukweli up?
hehehe jana walikuwa wanaandamana kwenye sredi flani kwamba wanazalilishwa, wakiiona na hii nazani tutarajieni hunger straiki. dah!
acha tuwasiliane na preta awakonvinsi wafanye hiyo, mimi nitakuwa mgeni rasmi. maandamano yataanzia jukwaa la mmu na yataishia jukwaa la private la wakubwa.
Huo hapo juu
token zenu uko
token zenu uko