MODESTUS CHOGGA maarufu Kama CHOGGA ni nani Siasa za 1960s-1990s

MODESTUS CHOGGA maarufu Kama CHOGGA ni nani Siasa za 1960s-1990s

Joined
Jan 29, 2014
Posts
35
Reaction score
37
Wana JF Jina CHOGGA limekua likitajwa miongoni mwa wana Siasa nguli wa Taifa kuanzia 1960s-90s

Inasemwa Mwanasiasa huyu alikua Mbunge wa Iringa kusini(1963-65),Yeye Pamoja na wenzake 8 walifukuzwa Bungeni baada ya kutofsutiana na Mwl.Nyerere,Akifukuzwa Bungeni akiwa na Wabunge wenzake kama Tuntemeke Sanga,Kibuga,Anangisye wa Mbeya na Joseph kasela Bantu wa TABORA

Naomba msaada wa Ufahamu kwa mwenye kufahamu Taarifa sahihi za mtu huyu
 
inasemekana hawa watu walileta mgomo wakati huo..... mfano kibuga alikuwa mbunge wa mufindi kaskazini... yeye alitofautiana na mwalimu kwasababu aliuliza swali.. kwanini uchaguzi wa wabunge wanashindanishwa watu wawili wakati wa raisi anashindanishwa mtu na kivuri? swali lilimkera sana mwalimu akalazimika kumuweka kizuizini marehemu kibuga huko kwao sadani
 
Back
Top Bottom